Kuna ile tabia unajikuta unalala tu ghetto kama una smart na bando unaingia mtandaoni njaa ikikushika haswa unapika msosi hauna ratiba maalum

unakula Unarudi mtandaoni baadae unalala unashtuka mwendo ni uleule hadi siku inaisha unalala
Ukichoka kukaa ndani unaenda kuzurura kutembea hovyo tu mtaani una muelekeo usio usioujua ili mradi tu uone njia ya kutokea

utapita sehemu malaya wanajiuza hata kama huna pesa ili mradi uwaangalie tu roho isuhuzike
Kila demu kwako ni mkali na unataman kutongoza tongoza hovyo
Unakua na bajeti hatari elfu 1000 unaweza itumia siku mbili vocha tu ndio zinakuharibia hela
Yaani ukiwa jobless lazima phase hizi upite
Sema nini mwanangu utatoboa na utarudi kwenye hii komenti kuniambia mark my words