Moment of silent
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 1,053
- 1,782
Mkuu sio mchezo yaan nimekata tamaa kabisaAloo mkubwa mbona kama unapitia makubwa zaidi, ila jipe moyo ipo siku ndoto zako zitatimia
Mkuu sio mchezo yaan nimekata tamaa kabisaAloo mkubwa mbona kama unapitia makubwa zaidi, ila jipe moyo ipo siku ndoto zako zitatimia
Sikupata ,Vipi kazi ya ukarani wa sensa ulipata ?
Kabisa masta, kwanza kuna kipindi kinafika ukitongoza dem kabla hata hajakukubalia muende sawa utaona anakuuliza maswali ya kutaka kukujua unaishije mjini hapa na mishe zako, kama ndio apeche alolo unashangaaga tu ashakucrop hata sms hajibu.Kum face mchuchu ukiwa huna posho ni kigingi, kila demu mzuri lazma utakuwa unamkwepa tu sababu unahisi gharama zake hutaziweza.

Oya..sio poa inauma kinyama maana unakuwa ushajua sababu iliyokukosesha mchuchu.Noma kweliKabisa masta, kwanza kuna kipindi kinafika ukitongoza dem kabla hata hajakukubalia muende sawa utaona anakuuliza maswali ya kutaka kukujua unaishije mjini hapa na mishe zako, kama ndio apeche alolo unashangaaga tu ashakucrop hata sms hajibu.Oya..sio poa inauma kinyama maana unakuwa ushajua sababu iliyokukosesha mchuchu.
Hawa hapaChelsea jana kawatenganisha na hela zao vijana wasio na ajira
Aisee nimecheka kwa sauti kubwa jamani



Mie ata hisia tu uwa znapotea aseeeKum face mchuchu ukiwa huna posho ni kigingi, kila demu mzuri lazma utakuwa unamkwepa tu sababu unahisi gharama zake hutaziweza.
Mkuu tupo wahenga since 2016.. noma sanaDaaa!Uzi pendwa wakutiana faraja na manung'uniko tuko pamoja sana tuendelee kupambana kitaa japo Mambo bado hayajakaa sawa #Jobless since 2020 Miaka miwili kitaa Mambo bado magumu
Haina namna maisha Lazima yaendeleeMkuu tupo wahenga since 2016.. noma sana
ata bila hizo AjiraBig up!!...Fight to the endNoma sana nimeuza sana matunda kinondoni studio nikaja kuuza ma apple mbagala rangi tatu pamoja na ubuyu nikajaribu kuchukua vitu kutoka Zanzibar naleta DSM sio poa unakimbiwa na mchuchu pamoja na washikaji wanakudharau ila alhmdulilah sasa hivi kila mwisho wa mwezi unaona sms ndugu mteja umepokea kiasi cha kitoka kwenye namba hyo ni jambo la kushukuru kwa kweli.
Kwel wewe muhenga..Mkuu tupo wahenga since 2016.. noma sana
Ndio mzee babaKwel wewe muhenga..
Bado uko Iringa?
Huu ni ukweli mchungu kwa wengi. Mwenyezi mungu atuongoze....Aiseeee wewe acha kabisa, sikia tuu story kwa watu ila omba yasikukute au uwe ushapita kwenye kipindi kama hiki, ni ngumu sana kukubaliana na hii hali ya kukosa ajira hasa ukikumbuka miaka mingi uliyoipoteza kuipata elimu, 1+7+4+2+3/4/5 years in school afu unafika mtaa unakutana na stori za kujiajiri afu ukicheki huna hata mia ya mtaji
Wengi watabeza na kukejeli lakini kwa wanaopitia hali hii wanaelewa uchungu na mateso yaliyomo hasa kifikra na kihisia, it's very hard to live it.
Namuomba Mungu akatufanyie wepesi vijana wenzangu wote tunaopitia hali hii na ikafike mwisho kabla mwaka huu haujaisha either tuwe tumepata ajira au mitaji kwa ajili ya biashara au kilimo au ishu yoyote.
Zaidi ya yote usiombe uwe ulijifunza na kubet ukiwa chuo au ukiwa mtaani,hio ndo balaa zaidi,unaweza ukasema hii buku em ngoja niikuze walau nipate elfu tano, Bayern Munich anapigwa wakati kila game alikua anashinda.
Oyaa sio poa wazee,sema fresh nothing is permanent.