Kwa Kweli Kama Hali Ndio Hii Mwakani Naacha Kazi Ya Ualimu.Watoto Hawawezi Kuandika Kiingereza Kabisa.Wamefauluje Kuja Sekondari,nimefundisha Topic Na Kurudia Mara Nyingi,wapo Waliopata A na b na c pia.kuna kundi kubwa la waliofeli hadi mtu anapata 12,18,4,yani Nimelia Kwa Kuona Mtu Badala Ya Kuandika Legs Anaandika Leges,process-presse,before-bifore,stone-ston,monkey-mankey,fire-firs,kwa Kweli Kwa Namna Hii Sijui Wanafauluje Watu Kama Hawa.Waalimu Wenzangu Nitumie Njia Gani Mana Kuandika Hawajui Na Mimi Sylubus Haina Sehemu Ya Kufundisha Watu Kusoma Na Kuandika.Nimetumia Kila Njia Ila Madogo Baadhi Hawaelewi Kitu.