Acha Ujinga na kulia lia hapa, watu kama ninyi ndiyo mzigo kwenye hii Jamii yetu na mnaoifanya hii nchi ishindwe kwenda mbele!
Sasa kama wewe kweli ni Mwalimu na umeona kwamba Watoto wana matatizo ni kwa nini usijitolee kuwafundisha? Sasa ulitake nani awafundishe?
Unafahamu hata maana ya kuwa Mwalimu?
Mimi wakati nasoma kulikuwa na Walimu waliokuwa wanabakia shuleni mpaka saa kumi mbili jioni na watoto waliokuwa na matatizo na kuwasadia mpaka walikuwa wanaelewa na hakuna siku walikuwa wanalia lia kama wewe unavyofanya hapa!
Na Je ukiletewa watoto wa Mitaani ambao hawajawahi hata kuona mlango wa darasa ulipo utafanyaje? Unafikiri nchi itaendelea kwa kulia lia hivyo kama mtoto mdogo?
Ndiyo maana rais Mkapa aliwaita wa-Pumbavu na ma-Lofa kwa maana hamna akili wala uzalendo hata kidogo si ajabu wewe mwenyewe umefika hapo ulipo kwa sababu kuna watu huko nyuma walijitolea kukusadia kwa namna moja au nyingine sasa kama kila mtu angesema kama ulivyosema wewe si leo hii ungekuwa kwenu Machame unachuna mbuzi!
Kuwa mzalendo wanzio wanapiga hela