Machozi Yamenitoka Nikimark Midterm

Machozi Yamenitoka Nikimark Midterm

Mkuu sekondari siyo tena sehemu ya kwenda kuanza kumshikia mwanafunzi kalamu au kumfundisha namna ya kuandika speling! we unajua jumla ya topic za masomo yote ya kidato cha kwanza? na mwalimu anachukua dk ngapi kwa kipindi kimoja? huo mda wa kuanza kumfundisha tena mwanafunzi kuandika spellings atautoa wapi wakati alitakiwa awe tayar ameshafahamu akiwa huku primary! kama ndiyo hvyo basi hamna haja ya kuwa na primary school

Spelling za masomo ya sekondari nyingi hazipo primary, masomo ya science hususani. Ni jukum la mwl kuhakikisha mwanafunzi anaelewa hivo
 
Mimi Nilipenda Kua Mwalimu Mana Wazazi Wangu Ni Waalimu Na Sio Kweli Kua Nilienda Ualimu Kwa Kukosa Kazi Nyingine Kama Inavyotafsiriwa Na Wengi.Na Sijutii Kua Mwalimu Bali Najuta Kwanini Nafundisha Watu Ambao Hawana Output
 
Spelling za masomo ya sekondari nyingi hazipo primary, masomo ya science hususani. Ni jukum la mwl kuhakikisha mwanafunzi anaelewa hivo

Me Nafundisha Geography Na History Form One.Hao Wanaopata 92 Wao Wanapataje Na Wengine Anapata 4 Au 5 Mtihani Huo Huo??
 
Wewe mwenyewe hujui kuandika sasa unategemea hao madogo ndiyo watajua. Eti "SYLUBUS" badala ya SYLLABUS
 
Teaching allowance needed for teachers to stay up to 6pm. Do you think teachers are dogs and hogs. Are you speaking from your prepared brain or your just talking.shiiiiiiiit!teacher of today is not a teacher of those days.
 
Wewe mwenyewe hujui kuandika sasa unategemea hao madogo ndiyo watajua. Eti "SYLUBUS" badala ya SYLLABUS

Hapa Kumbuka Me Naandika Fasta Kujibu Koments.Sijui Kuandika Ningepata Degree Ya Honours Ya Pale Chuo Kikuu Cha Dsm??
 
Me Nafundisha Geography Na History Form One.Hao Wanaopata 92 Wao Wanapataje Na Wengine Anapata 4 Au 5 Mtihani Huo Huo??

Suala la wanafunzi kutofautiana marks ni la kawaida shule zote kwan wanazidiana uwezo....
 
Hapa Kumbuka Me Naandika Fasta Kujibu Koments.Sijui Kuandika Ningepata Degree Ya Honours Ya Pale Chuo Kikuu Cha Dsm??

"Koments" ni neno la kiingereza au kisukuma, wewe ni wale walimu wa division 5 halafu unabwabwaja eti una honours ya UDSM. Kama ni hivyo nimekudharau wewe na hicho chuo.
 
Kujua lugha Lazima wafanye vitu 3 was one story book sana, dictation na debates. Hapo atajifunza kusoma, kuandika proper spelling lakini debate na kuongea. Mimi form one nilisoma story book 126 na kuziadithia
 
kwa nini ajitolee,wangapi katika nchi hii wanjitolea?,au kwa sababu yeye ni mwalimu?,kwa nn akae mpaka saa 12 wakati ana kazi zingine zinaingiza kipato cha kujazia mshahara wake ambao haumtoshi?,soma vizuri umuelewe,ameomba ushauri jinsi ya kufanya ili kutatua tatizo,it either you give him/her advice or you go back to school to have your brain reorganized.
Acha Ujinga na kulia lia hapa, watu kama ninyi ndiyo mzigo kwenye hii Jamii yetu na mnaoifanya hii nchi ishindwe kwenda mbele!
Sasa kama wewe kweli ni Mwalimu na umeona kwamba Watoto wana matatizo ni kwa nini usijitolee kuwafundisha? Sasa ulitake nani awafundishe?
Unafahamu hata maana ya kuwa Mwalimu?
Mimi wakati nasoma kulikuwa na Walimu waliokuwa wanabakia shuleni mpaka saa kumi mbili jioni na watoto waliokuwa na matatizo na kuwasadia mpaka walikuwa wanaelewa na hakuna siku walikuwa wanalia lia kama wewe unavyofanya hapa!

Na Je ukiletewa watoto wa Mitaani ambao hawajawahi hata kuona mlango wa darasa ulipo utafanyaje? Unafikiri nchi itaendelea kwa kulia lia hivyo kama mtoto mdogo?

Ndiyo maana rais Mkapa aliwaita wa-Pumbavu na ma-Lofa kwa maana hamna akili wala uzalendo hata kidogo si ajabu wewe mwenyewe umefika hapo ulipo kwa sababu kuna watu huko nyuma walijitolea kukusadia kwa namna moja au nyingine sasa kama kila mtu angesema kama ulivyosema wewe si leo hii ungekuwa kwenu Machame unachuna mbuzi!
 
"Koments" ni neno la kiingereza au kisukuma, wewe ni wale walimu wa division 5 halafu unabwabwaja eti una honours ya UDSM. Kama ni hivyo nimekudharau wewe na hicho chuo.

Jaman Hapa Naandika Kiswahili Bana.Unanidharau Mana Hujitambui
 
Jaman Hapa Naandika Kiswahili Bana.Unanidharau Mana Hujitambui

Kama Huamini Kua Me Ni Genius Piga0759063942 nikupe matokeo yangu uone.Na Wewe Ulete Ya Kwako Hapa.Mimi Sifanyi Mambo Kwa Kubahatisha Kama Wewe Ulivyonunua Vyeti
 
Acha Ujinga na kulia lia hapa, watu kama ninyi ndiyo mzigo kwenye hii Jamii yetu na mnaoifanya hii nchi ishindwe kwenda mbele!
Sasa kama wewe kweli ni Mwalimu na umeona kwamba Watoto wana matatizo ni kwa nini usijitolee kuwafundisha? Sasa ulitake nani awafundishe?
Unafahamu hata maana ya kuwa Mwalimu?
Mimi wakati nasoma kulikuwa na Walimu waliokuwa wanabakia shuleni mpaka saa kumi mbili jioni na watoto waliokuwa na matatizo na kuwasadia mpaka walikuwa wanaelewa na hakuna siku walikuwa wanalia lia kama wewe unavyofanya hapa!

Na Je ukiletewa watoto wa Mitaani ambao hawajawahi hata kuona mlango wa darasa ulipo utafanyaje? Unafikiri nchi itaendelea kwa kulia lia hivyo kama mtoto mdogo?

Ndiyo maana rais Mkapa aliwaita wa-Pumbavu na ma-Lofa kwa maana hamna akili wala uzalendo hata kidogo si ajabu wewe mwenyewe umefika hapo ulipo kwa sababu kuna watu huko nyuma walijitolea kukusadia kwa namna moja au nyingine sasa kama kila mtu angesema kama ulivyosema wewe si leo hii ungekuwa kwenu Machame unachuna mbuzi!

Acha maneno meng na kuwa muwaz,yan secondary ndo ukafndshwe kusoma na kuandika kwel?na msing kaz yake nib?
 
Kujua lugha Lazima wafanye vitu 3 was one story book sana, dictation na debates. Hapo atajifunza kusoma, kuandika proper spelling lakini debate na kuongea. Mimi form one nilisoma story book 126 na kuziadithia

Wakiona Kitabu Wengi Wanatokwa Na Jasho Make Hata Kusoma Kimombo Ni Tabu
 
Kwa Hiyo Wadau Nijitolee Kuwapa English Course?Na Kama Ni Ndio Nina Shaka Mana Mtu Hajui Kuandika Hata Jina Lake Me Natumia Njia Gani Tena?
 
....Badala Ya Kuandika Legs Anaandika Leges,process-presse,before-bifore,stone-ston,monkey-mankey,fire-firs,....

.. hao watoto wako vizuri mno kwa upande wa vocabulary. tatizo ni dogo tu la spelling
 
Kwa Kweli Kama Hali Ndio Hii Mwakani Naacha Kazi Ya Ualimu.Watoto Hawawezi Kuandika Kiingereza Kabisa.Wamefauluje Kuja Sekondari,nimefundisha Topic Na Kurudia Mara Nyingi,wapo Waliopata A na b na c pia.kuna kundi kubwa la waliofeli hadi mtu anapata 12,18,4,yani Nimelia Kwa Kuona Mtu Badala Ya Kuandika Legs Anaandika Leges,process-presse,before-bifore,stone-ston,monkey-mankey,fire-firs,kwa Kweli Kwa Namna Hii Sijui Wanafauluje Watu Kama Hawa.Waalimu Wenzangu Nitumie Njia Gani Mana Kuandika Hawajui Na Mimi Sylubus Haina Sehemu Ya Kufundisha Watu Kusoma Na Kuandika.Nimetumia Kila Njia Ila Madogo Baadhi Hawaelewi Kitu.

Hapa Kumbuka Me Naandika Fasta Kujibu Koments.Sijui Kuandika Ningepata Degree Ya Honours Ya Pale Chuo Kikuu Cha Dsm??

Kwa namna hii sijui ulipataje hiyo degree of honours pale mlimani
 
elimu imechanganywa na siasa kaka..usitegemee kupata compitence students..timiza wajib wako tu mkuuuu

Mmmmh wewe. Ako kakwako kamewazidi hao watoto. Kingereza hicho rekebisha haraka kabla mwl wako ajakuona naye kuanza kulia
 
Ikumbukwe Kua Hapa Ni Kiswahili.Hata Ukichanganya Maneno Me Napenda Nipate Ushauri
 
Kwa namna hii sijui ulipataje hiyo degree of honours pale mlimani

Najua Ni Faster Ila Naandika Fasta Mana Jf Hapa Ni Kiswahili,koment-comment/s,
 
Back
Top Bottom