Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 10,400
- 12,090
Machinga ni wafanyabiashara mbinu pekee ya kuwatoa barabarani ni kuwasaidia kukuza mitaji yao.Pamoja na Kampeni iliyogharimu pesa nyingi ya kuhamisha machinga sehemu maalum. Kwa Sasa wamerudi upya wakiupiga mwingi
View attachment 2221705