Kuwatoa hayo maeneo ni nguu mno mkuu. Wanaweza kuwatoa sasa then baadae wakarudi tena .View attachment 1941770Kama hata yatafanyika kwa hata50% jiji litakua safi sana
Serikali ikiamua inakupanga vizuri tu na hakuna kitu utafanyaInatakiwa aidha wafute barabara moja iwe ya kibiashara (machinga) au wahamisge matumizi jengo wawape machinga....
Kumbuka anae pangwa samaki ng ombe mbuzi na kuku lkn binadamu hapangwi...
Jiwe aliwajaza ujinga hawa watu!!! Dawa yao ni marugu tu wanyooke !!!Hili jambo litafeli ni suala la muda tu maana machinga wanajiona kuwa ni kundi maalumu Sana
Waliitwa wanyonge wakakubali kuwa ni wanyonge Tanzakiza Kuna watu wajinga Sana mkuuJiwe aliwajaza ujinga hawa watu!!! Dawa yao ni marugu tu wanyooke !!!
Dah nigger. Halafu kuna reli ya kisasa ya treni ya mwendo kasi ya umeme.Inatakiwa aidha wafute barabara moja iwe ya kibiashara (machinga) au wahamisge matumizi jengo wawape machinga....
Kumbuka anae pangwa samaki ng ombe mbuzi na kuku lkn binadamu hapangwi...
Namna pekee ya hili kushinda ni wao wamachinga kuwa sehemu ya kudhubiti wenzao watakaokuwa wanavunja taratibu, kwa kushirikiana na vyombo vya sheria. Hawa wanatafuta riziki ila akili zao wanazijua wenyeweHili jambo litafeli ni suala la muda tu maana machinga wanajiona kuwa ni kundi maalumu Sana
Hao machinga wapo miaka nenda rudi na hakuna raisi aliweza kuwatoaHaya ndio mazao ya uoga na siasa za Yule jamaa aliekuwa hajiamini ktk uongozi wake .ni gharama kubwa mbaya ametuachia Hilo zao la wamachinga ni bomu litkapo ripuka itakuwa balaaa
Shida watakula wapi? Maana wao wanatega sehemu wanazopata watejaHapo machines wawe wapole sasa wawasikie watawala
Ova
Wabadilike,waache kufanya kazi zao kwa mazoeaShida watakula wapi? Maana wao wanatega sehemu wanazopata wateja
Ingekuwa hawapati kitu, wenyewe wangeondoka
Ukiwemo ww na mumeoWaliitwa wanyonge wakakubali kuwa ni wanyonge Tanzakiza Kuna watu wajinga Sana mkuu
Sikuwajaza ujinga,,serikali itoe ajira basi..Jiwe aliwajaza ujinga hawa watu!!! Dawa yao ni marugu tu wanyooke !!!
Enzi za Iddi Amini hao unawapanga kwa risasi za smg anayezidi tu utumbo nje