Machinga wa Karume waitaka Serikali iwaachie wajenge soko lao lililoungua, Waziri Bashungwa aunda Tume ya Uchunguzi

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,976
Waziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.

Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.

Source: East Africa tv

Maendeleo hayana vyama!
 
Hizo tume kila siku zinaundwa wakati ripoti haisomwi kwa wananchi kuna maana gani kuendelea kuunda hizo tume?

Hawa jamaa waache kufanya kazi kwa mazoea, kama jambo limeshawashinda bora wakae kimya tu kuliko kuja na majibu yaleyale yaliyoshindwa kujibu mitihani iliyopita, wasichezee akili za watu.
 
Waziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.

Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.

Source: East Africa tv

Maendeleo hayana vyama!
Tunaendelea na ujenzi
IMG_20220116_181536_0.jpg
IMG_20220116_144557_8.jpg
IMG_20220116_181539_3.jpg
IMG_20220116_181548_0.jpg
IMG_20220116_181556_7.jpg
IMG_20220116_121411_0.jpg
IMG_20220116_144544_0.jpg
 
Back
Top Bottom