johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Waziri wa Tamisemi Mh Bashungwa ametoa siku 7 kwa tume ya uchunguzi kukamilisha kazi na kutoa taarifa ya chanzo cha moto soko la Karume.
Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.
Source: East Africa tv
Maendeleo hayana vyama!
Nao wamachinga wamemtaka RC Makalla awaruhusu wajenge soko lao wao wenyewe kwa gharama zao.
Source: East Africa tv
Maendeleo hayana vyama!