Machine ya Kuprint Plastic Cards

bagain

JF-Expert Member
Jul 21, 2011
362
226
Wana Jamii,

Ni duka gani kwa hapa Dar es Salaam nitapata printer kwa ajili ya plastic ID cards, Business cards, Employee cards n.k?
 
Asante kwa ushauri kuhusu BMTL.

Kuna mtu alishawahi nunua printer za aina hii kwa BMTL?
 
Asante kwa ushauri kuhusu BMTL.

Kuna mtu alishawahi nunua printer za aina hii kwa BMTL?

Hawana BMTL. Nenda pale CANON CITY Haidery Plaza. Zinaanzia USD 3500 ila software ya DataCard hawana, uende Mitsumi Garage ukawaulize wahindi wale wakusaidie kuipata. Nayo ni kama around usd 2000
 
Oposite na Canon City utaipata kwa Dola 3000 ikiwa na software yake.pia wanazo blank cards.
 
Hawana BMTL. Nenda pale CANON CITY Haidery Plaza. Zinaanzia USD 3500 ila software ya DataCard hawana, uende Mitsumi Garage ukawaulize wahindi wale wakusaidie kuipata. Nayo ni kama around usd 2000

Asante kwa maelezo mazuri, nitayafanyia kazi.
 
Sure hapo hapo Plaza ndio Wanauza...

Ila Isije kuwa ndio wewe ulikuja na mbwembwe Unatengeneza ID card kwa bei poa .. Kumbe Printer Huna... haha Na Ujue hizo Machine kwa Tenda Yangu Haziwezi... tusije kuharibiana Kazi, Zipo Slow Sana ila kama u Mbishi zitakufaa
 
Wana Jamii,

Ni duka gani kwa hapa Dar es Salaam nitapata printer kwa ajili ya plastic ID cards, Business cards, Employee cards n.k?

Bora ungejua teknologia yake ambayo ingekurahisishia kazi kuliko kwenda kununua kitu kitakachokugharibu pesa halafu usijue namna ya kufanya.

Mitambo ya gharama nafuu ya aina ya card unazotaka ni kutumia ufundi wa kawaida tu ambao ni kuchapisha card kwenye karatasi za kawaida na halafu kuwa na mtambo mdogo tu wa gharama nafuu wa laminate. Ndivyo wanavyofanya hata bank card, Id card na mengineyo.

Kinachoonekana plastic ni juu tu wakati ndani ni karatasi ya kawaida tu. Kama huamini niulize nimeshafanya kazi hiyo nilipokuwa huko kwa wenzetu sehemu inayolindwa na FBI ambapo document za pekee huandaliwa na mtu ukishaingia na kutoka kuna sekuriti ya pekee na si rahisi kuingia mtu ovyo kwa vile ulinzi ni wa kielectronic elements. Utundu huo naujua. Hiyo mitambo utaingia gharaza zisizo za lazima.

Teknologia ninayokuambia gharama ya vifaa vyake mpaka kazi ikamilike ni chini ya $ 1000 kama utaiagiza toka nje ya nchi na kama kwa kuifikisha hadi bongo itakugharimu kiasi cha $ 2000 na kidogo. Tuache kuwaibia watu pesa, lets be fair. Thanks
 
Hizo PC Printer ya bei ya juu kabisa hufanya kazi zote ku print na kulaminate
 
Hizo PC Printer ya bei ya juu kabisa hufanya kazi zote ku print na kulaminate

Sidhani kama anazo kazi ambazo anahitaji mtambo ghali kama huo. Wanaohitaji mitambo aina hiyo ni wale wanaozalisha vitambulisho vya malaki kama si mamilioni kwa siku. Vinginevo mtu unaingia gharama ya mtambo ambao kurudisha gharama zake itakuchukua muda kutokana na soko dogo tulilo nalo.

Ni sawa na kuleta mitambo ya uchapaji Tanzania ambayo hutumia conveyors (vitabu kuminika vimejishikilia kwenye mnyororo kutokana na kasi ya uzalishaji na speed) na finishing kwa kutumia robot kwa vile kasi ya mtambo wa aina hiyo uzalishaji wake speed ya binadamu haiwezi, wakati uzalishaji ni vitabu 5000 kwa siku wakati huko ulaya mitambo hiyo huzalisha mitabu zaidi ya 1,000,000 kwa siku. Hapo ndipo tunaopona tofauti ya kufanya shughuli kiuchumi na kufanya shughuli kwa kujionyesha.

Nimewahi kuona Ulaya na Marekani baadhi wakitumia mitambo ya zamani sana ya pre-press ile ya kurudufu herufi (mono/lino type - for type setting) unapogonga ni sawa na kelele za marimba, kisha kufanya composing kwa maana ya kwenda kuchapa kwenye mitambo ya zamani ya letter press badala ya offset press ya kisasa. Hii yote ni kutokana na volume ya nakala kwani offset hata kama unatoa coppy 10 tu gharama yake ni sawa kama unatoa coppy 5,000 nazaidi kwa vile material yanayotumika ni mengi muno pamoja na madawa yake licha ya wino. Waafrika hatufikiri hilo ila kuonyesha kwamba natumia mtambo mpya wa kisasa bila kuja gharama za uendeshaji kuwiana na mapato. Matokeo yake ni kuanguka kwa biashara.
 
Bora ungejua teknologia yake ambayo ingekurahisishia kazi kuliko kwenda kununua kitu kitakachokugharibu pesa halafu usijue namna ya kufanya.

Mitambo ya gharama nafuu ya aina ya card unazotaka ni kutumia ufundi wa kawaida tu ambao ni kuchapisha card kwenye karatasi za kawaida na halafu kuwa na mtambo mdogo tu wa gharama nafuu wa laminate. Ndivyo wanavyofanya hata bank card, Id card na mengineyo. Kinachoonekana plastic ni juu tu wakati ndani ni karatasi ya kawaida tu. Kama huamini niulize nimeshafanya kazi hiyo nilipokuwa huko kwa wenzetu sehemu inayolindwa na FBI ambapo document za pekee huandaliwa na mtu ukishaingia na kutoka kuna sekuriti ya pekee na si rahisi kuingia mtu ovyo kwa vile ulinzi ni wa kielectronic elements. Utundu huo naujua. Hiyo mitambo utaingia gharaza zisizo za lazima.

Teknologia ninayokuambia gharama ya vifaa vyake mpaka kazi ikamilike ni chini ya $ 1000 kama utaiagiza toka nje ya nchi na kama kwa kuifikisha hadi bongo itakugharimu kiasi cha $ 2000 na kidogo. Tuache kuwaibia watu pesa, lets be fair. Thanks

nilijitahidi kupitia mitandao tofauti, nikakutana na bei zinazoanzia dola 400 na kuendelea kutegemea na specification zake. Kwa hiyo ikanitia moyo kuulizia kama kwa hapa tanzania hasa Dar es Salaam zinapatikana.

Nashukuru kwa ushauri wako, sema tu sijawahi agiza kitu nje ya nchi. moja ya mtandao nilipoziona ni Plastic Printers.com - Plastic Card Printing Equipment .
 
Sidhani kama anazo kazi ambazo anahitaji mtambo ghali kama huo. Wanaohitaji mitambo aina hiyo ni wale wanaozalisha vitambulisho vya malaki kama si mamilioni kwa siku. Vinginevo mtu unaingia gharama ya mtambo ambao kurudisha gharama zake itakuchukua muda kutokana na soko dogo tulilo nalo.

Ni sawa na kuleta mitambo ya uchapaji Tanzania ambayo hutumia conveyors (vitabu kuminika vimejishikilia kwenye mnyororo kutokana na kasi ya uzalishaji na speed) na finishing kwa kutumia robot kwa vile kasi ya mtambo wa aina hiyo uzalishaji wake speed ya binadamu haiwezi, wakati uzalishaji ni vitabu 5000 kwa siku wakati huko ulaya mitambo hiyo huzalisha mitabu zaidi ya 1,000,000 kwa siku. Hapo ndipo tunaopona tofauti ya kufanya shughuli kiuchumi na kufanya shughuli kwa kujionyesha.

Nimewahi kuona Ulaya na Marekani baadhi wakitumia mitambo ya zamani sana ya pre-press ile ya kurudufu herufi (mono/lino type - for type setting) unapogonga ni sawa na kelele za marimba, kisha kufanya composing kwa maana ya kwenda kuchapa kwenye mitambo ya zamani ya letter press badala ya offset press ya kisasa. Hii yote ni kutokana na volume ya nakala kwani offset hata kama unatoa coppy 10 tu gharama yake ni sawa kama unatoa coppy 5,000 nazaidi kwa vile material yanayotumika ni mengi muno pamoja na madawa yake licha ya wino. Waafrika hatufikiri hilo ila kuonyesha kwamba natumia mtambo mpya wa kisasa bila kuja gharama za uendeshaji kuwiana na mapato. Matokeo yake ni kuanguka kwa biashara.

Huu ndiyo uzuri wa JF, ninapata ufahamu na jujua changamoto zilizopo katika biashara.
 
Sidhani kama anazo kazi ambazo anahitaji mtambo ghali kama huo. Wanaohitaji mitambo aina hiyo ni wale wanaozalisha vitambulisho vya malaki kama si mamilioni kwa siku. Vinginevo mtu unaingia gharama ya mtambo ambao kurudisha gharama zake itakuchukua muda kutokana na soko dogo tulilo nalo.

Ni sawa na kuleta mitambo ya uchapaji Tanzania ambayo hutumia conveyors (vitabu kuminika vimejishikilia kwenye mnyororo kutokana na kasi ya uzalishaji na speed) na finishing kwa kutumia robot kwa vile kasi ya mtambo wa aina hiyo uzalishaji wake speed ya binadamu haiwezi, wakati uzalishaji ni vitabu 5000 kwa siku wakati huko ulaya mitambo hiyo huzalisha mitabu zaidi ya 1,000,000 kwa siku. Hapo ndipo tunaopona tofauti ya kufanya shughuli kiuchumi na kufanya shughuli kwa kujionyesha.

Nimewahi kuona Ulaya na Marekani baadhi wakitumia mitambo ya zamani sana ya pre-press ile ya kurudufu herufi (mono/lino type - for type setting) unapogonga ni sawa na kelele za marimba, kisha kufanya composing kwa maana ya kwenda kuchapa kwenye mitambo ya zamani ya letter press badala ya offset press ya kisasa. Hii yote ni kutokana na volume ya nakala kwani offset hata kama unatoa coppy 10 tu gharama yake ni sawa kama unatoa coppy 5,000 nazaidi kwa vile material yanayotumika ni mengi muno pamoja na madawa yake licha ya wino. Waafrika hatufikiri hilo ila kuonyesha kwamba natumia mtambo mpya wa kisasa bila kuja gharama za uendeshaji kuwiana na mapato. Matokeo yake ni kuanguka kwa biashara.

Huu ndiyo uzuri wa JF, ninapata ufahamu na jujua changamoto zilizopo katika biashara.
 
Back
Top Bottom