Ni ubadhilifu mkubwa DART kutoa smart card mpya za mwendokasi

Braza Kede

JF-Expert Member
Nov 1, 2012
1,661
3,303
Kwa sasa pale Kivukoni dar kuna smart card zinatumika. Uwe na gari au wakutembea kwa miguu hauvuki bila kuwa na smart card.

Sasa hawa Dart wa mwendokasi nao wanataka kutoka smart card zao tofauti na hizo zinazotumiwa hapo kwenye kivuko.

Kwa maana ingine iwapo lengo hilo likitimia mtu anayetoka Kigamboni atavuka feri na smart card ya kivuko na akienda kupanda mwendokasi atalazimika kuwa na smart card ingine kwa ajili ya mwendokasi!.

Huu ni usumbufu kwa wananchi na ni matumizi mabaya sana ya pesa ambazo zingeweza kusaidia maeneo mengine.

Ni kama vile watu hawa wanatumikia Serikali mbili tofauti. Hii haiwezekani kufanyika bila ufisadi.

Hapa hamna haja ya Dart kuzalisha smart card zao mpya. Hawa Dart waunganishe mifumo yao na hao wenzao wa pale feri ili watu waendelee kutumia hizo smart card zinazotumika pale kivukoni.
 
Hapo na Magufuli Bus stand watakuja na Smartcard zao, SGR watakuja na za kwao,
Ni ujinga mtupu na unaweza kujiuliza hivi hii nchi imejaa wajinga watupu? Hivi kweli si pochi itapasuka yani uwe na mikadi zaidi ya saba mfukoni kwanini tusiseme nchii hii imejaa wajinga wanao jiita wasomi?
Wasomi wetu ni hasara tupu kabisa na bado ukienda uwanja wa Taifa napo kuna kadi ya kuchanja! Mbona watu wanayumia ATM zao kufanya malipo na manunuzi? Hivi hii nchi mbona wasomi ni wajinga wajinga namna hii?
 
Upo sahihi

Hawa wote wanatakiwa kuwa na mfumo mmoja ili smart card iwe iyoiyo moja, vinginevo wananchi tutapata taabu sana na kutembea na vibunda vya izo smart cards.
Wanaweza wakafanya ATM card zisome kwenye hizo shughuli zote za malipo na pia kwa wale wasio kuwa na ATM basi watatumia hizo smart card ambayo itasoma kwenye hizo shughuli zote za malipo!
 
Kwa sasa pale kivukoni dar kuna smart card zinatumika. Uwe na gari au wakutembea kwa miguu hauvuki bila kuwa na smart card.

Sasa hawa Dart wa mwendokasi nao wanataka kutoka smart card zao tofauti na hizo zinazotumiwa hapo kwenye kivuko.

Kwa maana ingine iwapo lengo hilo likitimia mtu anayetoka kigamboni atavuka feri na smart card ya kivuko na akienda kupanda mwendokasi atalazimika kuwa na smart card ingine kwa ajili ya mwendokasi!.

Huu ni usumbufu kwa wananchi na ni matumizi mabaya sana ya pesa ambazo zingeweza kusaidia maeneo mengine.

Ni kama vile watu hawa wanatumikia serikali mbili tofauti. Hii haiwezekani kufanyika bila ufisadi.

Hapa hamna haja ya Dart kuzalisha smart card zao mpya. Hawa Dart waunganishe mifumo yao na hao wenzao wa pale feri ili watu waendelee kutumia hizo smart card zinazotumika pale kivukoni.
Hata hao Dart walikuwa nazo smart na wengine bado tunazo kwa hiyo bado ni ujinga kutengeneza zingine labda kama wanabadilisha mfumo
 

Attachments

  • IMG_2072.jpeg
    IMG_2072.jpeg
    737 KB · Views: 4
Kwa sasa pale Kivukoni dar kuna smart card zinatumika. Uwe na gari au wakutembea kwa miguu hauvuki bila kuwa na smart card.

Sasa hawa Dart wa mwendokasi nao wanataka kutoka smart card zao tofauti na hizo zinazotumiwa hapo kwenye kivuko.

Kwa maana ingine iwapo lengo hilo likitimia mtu anayetoka Kigamboni atavuka feri na smart card ya kivuko na akienda kupanda mwendokasi atalazimika kuwa na smart card ingine kwa ajili ya mwendokasi!.

Huu ni usumbufu kwa wananchi na ni matumizi mabaya sana ya pesa ambazo zingeweza kusaidia maeneo mengine.

Ni kama vile watu hawa wanatumikia Serikali mbili tofauti. Hii haiwezekani kufanyika bila ufisadi.

Hapa hamna haja ya Dart kuzalisha smart card zao mpya. Hawa Dart waunganishe mifumo yao na hao wenzao wa pale feri ili watu waendelee kutumia hizo smart card zinazotumika pale kivukoni.
Tunakula kwa urefu wa kamba
 
Mkuu kwa mnaoingia viwanja vya mpira mnatumia kadi zipi?.
Samahani kwa usumbufu
zile za pale feri/kigamboni zinakubalika uwanja wa taifa na kule stendi ya magufuli ila ukienda na izo kadi kwa wazee wa mwendokasi hawazitaki wanataka uwape mkwanda keshi fullstop, hautaki tembea zako.
 
Wale ni wahuni angalia wenzao kivukoni hakuna janja janja

Udart waliuwa makusudi zile mashine ili waje wapige watu hela wale ni wahuni tu
 
Wale ni wahuni angalia wenzao kivukoni hakuna janja janja

Udart waliuwa makusudi zile mashine ili waje wapige watu hela wale ni wahuni tu

Udart hakuharibu ule mfumo wa kadi..

Mfumo ule ulikuwa wa kampuni binafsi... Walivyoshindwana kwenye mkataba na uendeshaji wakaharibu mfumo wao na hivyo Udart wakashindwa kutumia....
 
miradi janja janja ya kupiag hela kimsingi mimi kila siku nasema hamna kinachoweza kufanikiwa katika nchi hiyo full stop.Labda tutawaliwe upya.
 
Ni ujinga mtupu na unaweza kujiuliza hivi hii nchi imejaa wajinga watupu? Hivi kweli si pochi itapasuka yani uwe na mikadi zaidi ya saba mfukoni kwanini tusiseme nchii hii imejaa wajinga wanao jiita wasomi?
Wasomi wetu ni hasara tupu kabisa na bado ukienda uwanja wa Taifa napo kuna kadi ya kuchanja! Mbona watu wanayumia ATM zao kufanya malipo na manunuzi? Hivi hii nchi mbona wasomi ni wajinga wajinga namna hii?
Ndio wasomi wetu hao hapo wamekaa wakazama ndio wameibuka na dude kama hili.
 
Kwa sasa pale Kivukoni dar kuna smart card zinatumika. Uwe na gari au wakutembea kwa miguu hauvuki bila kuwa na smart card.

Sasa hawa Dart wa mwendokasi nao wanataka kutoka smart card zao tofauti na hizo zinazotumiwa hapo kwenye kivuko.

Kwa maana ingine iwapo lengo hilo likitimia mtu anayetoka Kigamboni atavuka feri na smart card ya kivuko na akienda kupanda mwendokasi atalazimika kuwa na smart card ingine kwa ajili ya mwendokasi!.

Huu ni usumbufu kwa wananchi na ni matumizi mabaya sana ya pesa ambazo zingeweza kusaidia maeneo mengine.

Ni kama vile watu hawa wanatumikia Serikali mbili tofauti. Hii haiwezekani kufanyika bila ufisadi.

Hapa hamna haja ya Dart kuzalisha smart card zao mpya. Hawa Dart waunganishe mifumo yao na hao wenzao wa pale feri ili watu waendelee kutumia hizo smart card zinazotumika pale kivukoni.
card ya benki
Card ya mpiga kura
Card ya NIDA
Card ya mwendokasi
Card ya kivuko nk
Hata kama huna hela wallet lazima litune
 
Back
Top Bottom