Machine ya kunyanyua matiti-kandambili,lapulapu basi tena

Machine ya kunyanyua matiti-kandambili,lapulapu basi tena

KELVIN GASPER

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
1,066
Reaction score
454
Machine hii inapatikana blue palace saloon iliyopo nyuma ya shule ya mapambano sinza.

MASHINE.jpg
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kweli wabongo tumekata tamaa kufikiria mambo ya msingi tumeishia kukaa na kuwaza ngono ngono tu. Hilo ndo tunaloweza kwa sasa. Shame on us bogolanders!!
 
visichana vidogo ambavyo vifua vyenu havikutakiwa kua mlalo, ndio mtakao kimbilia.poleni zenu na punguzeni shughuli za kikubwa
 
Ilianza ya Kuongeza Makalio na hips
Nilisikia ipo Sabuni yaitwa shabu, kazi yake kukaza uke
imekuja ya kusimamisha titiz
sijui itafuata ipi sasa!
 
Hayanyanyui bana.
Hiyo ni machine ya ku nyonya matiti.
na kukutekenya tu ni kama ile mashine wanaume wanayotumia kupiga nyeto.
ina wanyonya .. inawapa Blow job. na hii inafanya similar job to that one.:decision:
 
yan ni noma sasa tofauti ya mabibi na vijana haitakuwepo tena
 
Nawewe unaleta jipya, yaani ukisikia mewata tu unafikiria ngono?!, mbona zoezi hili lipo siku nyingi tu! Au huawoni wamama wanavyo yabana na bra size ndogo?!
Kweli wabongo tumekata tamaa kufikiria mambo ya msingi tumeishia kukaa na kuwaza ngono ngono tu. Hilo ndo tunaloweza kwa sasa. Shame on us bogolanders!!
 
Machine hii inapatikana blue palace saloon iliyopo nyuma ya shule ya mapambano sinza.

View attachment 49096

Mkuu, hayo matiti yanasimama kwa muda gani? Au ndo forever? Mchina huyu ni noma. Bado kidogo atatutengenezea mtu mwanamke kabisaaaa, manake ndiko alikojikita zaidi labda kuna soko zuri kudeal na umbo la wanawake.
 
Wala sio kazi ya hiyo machine, acheni speculations!!!
 
dah...zikinyanyuka sana nadhan hata kwao zitakuwa kero, hizo machine hazina maadhara kifya? MEWATA wanasemaje kuhusu hii teknolojia? idadi ya wanawake wenye saratani itaongezeka ghafla!
 
Back
Top Bottom