Whitney Houston
JF-Expert Member
- Jan 5, 2019
- 242
- 452
Habari za weekend wanajamvi.
Nipo katika mchakato wa kufungua biashara ya Stationery,nipo mkoani ila nataka kuwa nalangulia Bidhaa Mkoani Dar.
Naombeni mnitajie machimbo nitakayolangua Bidhaa kwa bei rafiki ya chimbo.
Bidhaa kama madaftari,counter book,gundi,marker pen,ribon za mapambo kwenye sherehe,pini,card,stepler,pen,pensel,bahaha,jaradio,mataji,karatasi(Rimaina zote double A n.k) n.k
Pia naombeni mnitajie printer nzuri ya 3 in one,ambayo inaprint document za rangi na black and white. bajet yangu ktk printer ni laki nne.
Shukran.
Nipo katika mchakato wa kufungua biashara ya Stationery,nipo mkoani ila nataka kuwa nalangulia Bidhaa Mkoani Dar.
Naombeni mnitajie machimbo nitakayolangua Bidhaa kwa bei rafiki ya chimbo.
Bidhaa kama madaftari,counter book,gundi,marker pen,ribon za mapambo kwenye sherehe,pini,card,stepler,pen,pensel,bahaha,jaradio,mataji,karatasi(Rimaina zote double A n.k) n.k
Pia naombeni mnitajie printer nzuri ya 3 in one,ambayo inaprint document za rangi na black and white. bajet yangu ktk printer ni laki nne.
Shukran.