Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Kutoka vyanzo mbalimbali vya habari Mbunge wa ukerewe(cdm)Salvatory machemli anataraj kuhamia ACT wazalendo baada ya kushindwa kura za maoni.
Updates:
ACT Wazalendo wameandika kwenye mtandao wao wa twitter kwamba, Machemli ameshajiunga na atagombea ubunge mwaka huu.
Update: 2
Mh. Machemli akuongea na ITV Tanzania, amesema hizi hajahamia ACT Wazalendo. Kasema uchaguzi wa kura za maoni, alikua namba mbili, lakini amekata rufaa kupinga matokeo hayo na bado rufaa haijasikilizwa. Kasema wanao sambaza habari za kuhamia ACT Wazalendo, Ni wabaya wake wa Kisiasa.
Updates:
ACT Wazalendo wameandika kwenye mtandao wao wa twitter kwamba, Machemli ameshajiunga na atagombea ubunge mwaka huu.
Update: 2
Mh. Machemli akuongea na ITV Tanzania, amesema hizi hajahamia ACT Wazalendo. Kasema uchaguzi wa kura za maoni, alikua namba mbili, lakini amekata rufaa kupinga matokeo hayo na bado rufaa haijasikilizwa. Kasema wanao sambaza habari za kuhamia ACT Wazalendo, Ni wabaya wake wa Kisiasa.