Machemli ameshindwa ktk kura za maoni
Ila ajue huko anakoenda akikosa ndio mwisho wake
Ila ajue huko anakoenda akikosa ndio mwisho wake
Vibaraka kama hawa mwaka huu wataisoma no. Kila wakilala wanamuota Lowassa.
Mama upo ulemfumo usio upenda ndio unafikia mwisho yatupasa kumshukuru Allah!!!!!!
Hivi kwanni nyie ma SISIEM mmempitisha Kafi.r kugombea kit cha urais.....hi hii maaaaaaaaaaaniiinaaaaaaaa mtaisoma namba mwaka huu ajuza
Kuna wanasiasa wameumbwa kuwa wapinzani milele, huwezi kuwazuia.
Nisome vizuri utanielewa tu wacha kiherehere.
habari kamili