MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,174
Mbunge wa NCCR MOSES MACHALI amemwaga cheche bungeni, ameamua kuwaambia ukweli kuwa ameamua kubaki bungeni ili awambie ukweli wabunge wa CCM kuwa wanachokifanya bungeni ni kuwakandamiza watz,
amesema kuwa walichosema CDM ndoo ukweli na anawaunga mkono kwa 100% kwa jinsi walivyotoka nje kwani hakutaka kutoka nje ili awapasulie ukweli wabunge waliobaki bungeni,
Pindi MACHALI alipokuwa anaendelea kuongea kuna baadhi ya wabunge wa CCM walikuwa wananong'oma chinichini kitu ambacho kilimfanya
MOSES MACHALI kuwaambia "MTACHONGA SANA JUU YANGU ILA NITASEMA UKWELI SITAKI UNAFIKI"
pia kasema "HIKI MNACHOKIFANYA KWA WANANCHI MTALANIWA NYIE WABUNGE WA CCM"
kiukweli MACHALI ni noma na hapo ndoo nimeamini NCCR wako pamoja na wananchi.
amesema kuwa walichosema CDM ndoo ukweli na anawaunga mkono kwa 100% kwa jinsi walivyotoka nje kwani hakutaka kutoka nje ili awapasulie ukweli wabunge waliobaki bungeni,
Pindi MACHALI alipokuwa anaendelea kuongea kuna baadhi ya wabunge wa CCM walikuwa wananong'oma chinichini kitu ambacho kilimfanya
MOSES MACHALI kuwaambia "MTACHONGA SANA JUU YANGU ILA NITASEMA UKWELI SITAKI UNAFIKI"
pia kasema "HIKI MNACHOKIFANYA KWA WANANCHI MTALANIWA NYIE WABUNGE WA CCM"
kiukweli MACHALI ni noma na hapo ndoo nimeamini NCCR wako pamoja na wananchi.