Machali awaendesha puta wabunge wa CCM Bungeni!

Halafu kitendo cha Chadema kutoka nje kimesaidia sana kwani CCM imebidi wawe wapole kwani wanahitaji wangalau mpinzani mmoja wa kweli achangie hata kama ni ukweli mchungu wao kuusikia. Ila bado kitendo cha Chadema kutoka kwao kitakuwa na madhara sana na kiongozi yoyote Wa CCM/serikali mwenye mtazamo wa mbali anajua kabisa uungwaji mkoni na wananchi kwa mswaada huu bila chadema kitakosa uhalali mbele ya watanzania wengi. Maandamano yajayo ndio watajua kwamba kulazimisha mambo ndio hatima yao.
 
Kama kuna mwana jf anaangalia bunge ataona kulikuwa na umuhimu wa wabunge kutosusia mjadala bali wangeupinga kwa hoja kama anavyofanya MH.JOSEPH MACHALI-KASULU MJINI[NCCR_ MAGEUZI]

Walivyofanya awbunge wa CDM ni 110% right. Hakuna haja ya kucheza ngoma ya kibati inayopigwa na CCM. Wabunge wa CDM sasa wanaungana na sisi tulio nje ya bunge kuupinga muswada wa katiba ya CCM kwa nguvu zote. Kubakia bungeni ni kuwapatia ushindi CCM. Huu ni mwanzo wa kampeni ndefu sana ya ukombozi, kama mchakato ni batili tokea mwanzo hata matunda yake ni flawed, Garbage in garbage out(GIGO), waacheni wafuata posho wajiridhishe na kulipana posho kwa wastage of time, ila wajue kuwa katiba si mali ya chama, katiba ni mali ya watanzania, hapawezi kuwa na muafaka bila wote kukubaliana, bunduki na risasi haziwezi kuzima fikra za kuwa huru walizo nazo watanzania wa leo.
 
Jamaa Machali nimemkubaliii......katoa point nzuri sana,amenifurahisha na kunifanya niendelee kuangalia. Ila huyu Ummy anavyowaponda wanasheria wenzake zinamtosha kweli??????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Eti wakasome tena sheria hahahaaaaa kaaaaz ipoooo

Ummy ndiyo nani tena................ Viti maalumu nini.....................?? Degree za.........!!! Au ndiyo wale walikuwa na chain miguuni!!
 
Kama kuna mwana jf anaangalia bunge ataona kulikuwa na umuhimu wa wabunge kutosusia mjadala bali wangeupinga kwa hoja kama anavyofanya MH.JOSEPH MACHALI-KASULU MJINI[NCCR_ MAGEUZI]

Ni kweli mkuu lakini kama wangebaki wangeongea nini, maana TL alimaliza kila kitu pale. Isitoshe kama ulifuatilia sawia bunge lililopita, ilikuwa kila baada ya sentensi moja ya mbunge wa cdm, ilikuwa ikifuatiwa na kama sio muongozo basi taarifa kwa spika. Kwa hali hiyo jamaa walishajipanga kuwapandisha jazba cdm kwa style hiyo ili 'fujo' itokee then jamii iwaone cdm hawafai. Ktk hili la katiba, cdm waendelee kugomea hadi mwisho, ieleweke moja hiyo ni katiba ya magamba. Baada ya hapo moto uwashwe wakati wa mikutano ya kura za kampeni.

Uzuri magamba wamejilengesha wenyewe kwamba CSOs, political parties na Civili societies zitashiriki ktk kutoa elimu ya uraia juu ya uundwaji wa katiba mpya. Mi nakwambia hawa magamba wajinga sana, yaani kwa sasa wanaona kama wameshinda ktk hoja yao ya mswaada wa kurekebisha hii katiba. Ukweli ni kwamba huko mbele, watarudi kubadili hii sheria maana wameshalikoroga, watalia sana wakati wa kampeni. Uzuri ni kwamba cdm wajipange wakati huo ukifika utumike kama ndo fursa pia ya kukijenga chama
 
Njia pekee za kuwarudisha nyuma ccm ni kukubari kufa au kupona kwa kuandamana bila kukoma au kujifunga bomu na kujilipua mbele ya spika.CCM msipoangalia vizuri,mnatengeneza magaidi .amani itatoweka hamtaamii.Siku zote mdharu mwiba humuchoma
hawezi kutoka nje kwani yeye ni sehemu ya maamuzi ya CCM kupitisha muswada. Anachokifanya anatuhadaa kwa kujifanya yuko na sisi watatnzania wakati ukweli siyo.

Ikumbukwe tu kuwa hakuna atakachosema kitawarudisha nyuma CCM
 
Nimefuatilia mchango wa mbunge wa kasulu mjini mosses machali wakati anachangia muswada wa sheria kwa ajili ya mchakato wa katiba. Amechangia vizuri na kwakweli amenifanya nione uamuzi wa chadema na baadhi ya wabunge wa nccr akina kafulila na mkosamali haukuwa na busara wala mantiki. Machali amepinga muswada na watanzania tumesikia hoja zake. Huu upinzani wa kususa mijadala naona kama ni kupotoka. Nawashauri jamani hata kama mnajua ccm wamesha amua muhimu kuonesha watanzania mawazo yenu badala ya kususa kila kukicha. Ni maoni yangu. Napenda kuwasilisha
 
Sina uhakika kama unaendelea jioni hii. Kama unaendelea basi na mi natoka nje
 
Nimefuatilia mchango wa mbunge wa kasulu mjini mosses machali wakati anachangia muswada wa sheria kwa ajili ya mchakato wa katiba. Amechangia vizuri na kwakweli amenifanya nione uamuzi wa chadema na baadhi ya wabunge wa nccr akina kafulila na mkosamali haukuwa na busara wala mantiki. Machali amepinga muswada na watanzania tumesikia hoja zake. Huu upinzani wa kususa mijadala naona kama ni kupotoka. Nawashauri jamani hata kama mnajua ccm wamesha amua muhimu kuonesha watanzania mawazo yenu badala ya kususa kila kukicha. Ni maoni yangu. Napenda kuwasilisha
Machali anasema anawaunga mkono CDM na NCCR waliotoka nje na anasema naye ilikuwa atoke ila amebaki ili awaeleze ukweli hasa MPS wa CCM. wewe unakwenda kinyume na mawazo yake halafu unajifanya unamuunga mkono Be careful mkuu otherwise ni aibu tu
 
Kama kuna mwana jf anaangalia bunge ataona kulikuwa na umuhimu wa wabunge kutosusia mjadala bali wangeupinga kwa hoja kama anavyofanya MH.JOSEPH MACHALI-KASULU MJINI[NCCR_ MAGEUZI]

Inamaana wabunge wa upinzani walivyo wachache wanaeza kukabiliana na wimbi kubwa la wabunge mafisadi waliojipanga ktanzia spika ambae ndo kiongoz wao pale bungeni na kutoa nafasi kwa wote ktk mambo muhim kama hayo hataki je jamii ingetambua je kama wamekataa huo mswada ambao ata upinzani wapinge je lazima utapita
 
Nimefuatilia mchango wa mbunge wa kasulu mjini mosses machali wakati anachangia muswada wa sheria kwa ajili ya mchakato wa katiba. Amechangia dvizuri na kwakweli amenifanya nione uamuzi wa chadema na baadhi ya wabunge wa nccr akina kafulila na mkosamali haukuwa na busara wala mantiki. Machali amepinga muswada na watanzania tumesikia hoja zake. Huu upinzani wa kususa mijadala naona kama ni kupotoka. Nawashauri jamani hata kama mnajua ccm wamesha amua muhimu kuonesha watanzania mawazo yenu badala ya kususa kila kukicha. Ni maoni yangu. Napenda kuwasilisha

Ili binti yako aolewe mchakato si huanza na barua ya posa kwanza? We barua hujaiona, mahari hujatoza,utamkubali vipi kijana anayesema mwishoni mwa wiki hii anamuoa mwanao?
 
...huyu si kazoea kuwa -Cained kila kona.......... kwani ana sifa gani ya kuwa waziri wakati yy ni mtu wa mishen-town...!!
Lazima watu km hawa waseme hayo waliyotumwa kusema walipokaa km kamati ya chama... ili kuwafurahisha waliowateua !!

Jamaa Machali nimemkubaliii......katoa point nzuri sana,amenifurahisha na kunifanya niendelee kuangalia. Ila huyu Ummy anavyowaponda wanasheria wenzake zinamtosha kweli??????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Eti wakasome tena sheria hahahaaaaa kaaaaz ipoooo
 
machali mwenyewe ni msaliti hakutoka na wenzake wa NCCR mageuzi atamwendesha puta nani kama sio NCCR na kumtetea James mbatia kama kibaraka wake
 
Back
Top Bottom