Machafuko Misri...wanaompinga na wanaomuunga mkono Mubarak watwangana!

Mtego wa Noti

JF-Expert Member
Nov 27, 2010
2,591
1,599
Hali ya usalama inazidi kuwa mbaya sana Misri katika viwaja vya Tahrir. Waandamanaji wanaompinga Mubarack na wale wanao muunga mkono Mubarack watwangana na majeruhi wako wengi mno. Wale wanaomuunga mkono Mubarack walikuwa na Ngamia na Punda na wakaanza kuwqshambulia wale wanaompinga Mubarak. Kabla ya kuanza mapigano, walianza kwa kurushiana maneno....stay tuned!!! source ni CNN, BBC ec
 
Mubarak anasema hata hali iweje, hawezi kuiacha Misri...this means hali itazidi kuwa mbaya..waandamanaji walikuwa wanarushiana mawe
 
Sasa kama unaowaongoza wamesema hawakutaki kig'wag'wanizi cha nini? Yasije yakampta ya DRC!
 
Noma sana inaonyesha hawa wanaomsapport Mubarakah ni askari maana katika mapambano wamedondosha vitambulisho, na Aljazeera imeonyesha. So wengi ni askari wamerudi kwa mlango wa nyuma! Kweli madaraka matamu
 
Hali inazidi kuwa mbaya huko........Labda tuone mwisho wake na wanasema kwamba huyo anasema tu na wanamjua ameanza kusema kwamba ataachia ngazi baada ya miezi kadhaa lakini ikifika hiyo time haachii ngazi so wanasema wanataka atoke sasa hivi na wenyewe wanaondoka la sivyo hakieleweki.........Naona UN na UK wameingilia kati!
 
So wengi ni askari wamerudi kwa mlango wa nyuma! Kweli madaraka matamu
Yaani watu hamjui hata maana ya propaganda? Hivi askari au usalama wa taifa aended sehemu kama hii na kitambulisho cha kazi? It does not make sense at all.

That is another dirty tactic, for soldiers they know!
 
KWa style ya watawala wa Africa, sijui kama democrasia ya kweli inawezekana. Nimesoma kwenye BBC, mama analalamika kuwa mkwe wake ambaye anafanya kazi katika serikali ya Mubarak, amelazimishwa kuandamana, la sivyo atakusa ajira. KWa mantiki hio, hawa wanaomuunga mkono Mubarak sio kweli kuwa wanampenda, bali ni kwa sababu ya economic consequences ambazo watazipata iwapo watamungana na waandamanaji. HATA hivyo, kama kweli Mubarak hawafai, there is no way, out, inabidi ATOKE, na wa kumtoa ni NGUVU YA UMMA.

Tukiachana na MIsri, the same situation inaendelea hapa nchini kwetu Tanzania. Angalia sakata la DOWANS, wanaotetea malipo wanamaslahi gani kwa nyuma? tupo kwenye janga lakini bado waziri mzima anasema lazima tulipe, inaingia akilini kweli? hapo hapo inabainika kuwa chanzo cha matokeo mabaya ya F4 2010 ni ukosefu wa zana za kufundishia, maabara duni, maslahi mabovu kwa walimu etc. TWAELEKEA WAPI SASA? VIVA EGYPTIANS!KEEP ON GROOVING
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom