Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Hali ya usalama inazidi kuwa mbaya sana Misri katika viwaja vya Tahrir. Waandamanaji wanaompinga Mubarack na wale wanao muunga mkono Mubarack watwangana na majeruhi wako wengi mno. Wale wanaomuunga mkono Mubarack walikuwa na Ngamia na Punda na wakaanza kuwqshambulia wale wanaompinga Mubarak. Kabla ya kuanza mapigano, walianza kwa kurushiana maneno....stay tuned!!! source ni CNN, BBC ec