2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
- Thread starter
- #101
Asee wazo zuri sana...kwann Wapalestina wasipewe hizo ardhi?
Mi mwenyewe nashangaa,
Nchi ya Australia TU kule wanamiliki bara Zima peke yao, wameshindwa ata kuiendeleza ardhi (10% TU ndo imetumika).
Ni mapori juu ya mapori wanakaa kangaroo na nyoka TU kule.
Ukienda Brazil, Amazon Ni mapori juu ya mapori.
Ukienda Canada, Ni nchi KUBWA mno karibia nusu nzima ya bara la AFRICA ila inazidiwa population ata na mkoa wa mwanza TU.
UNABAKI MDOMO WAZI, apa namlaumu pia aliwarudisha waisraeli pale wkt dunia Ina mapori kibao. Amekwenda kutengenezea mgogoro unaogharimu maisha ya watu sahv.
Sijui
BINADAMU TUMEKUA NA AKILI ZA NAMNA GANI kwa tamaa zetu za kipumbavu.
Afu Kuna jamaa mmoja eti sahv anafanya utafiti tukaishi Kwenye sayari nyingine, wakati hata Hii Dunia tulokuepo hatujaweza kuijaza hata nusu.