Mabroo hatutoi connection, dogo usizubae stuka!

Mabroo hatutoi connection, dogo usizubae stuka!

min -me

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
57,781
Reaction score
165,397
Pale turiani Morogoro, kuna sehemu inaitwa dakawa karibu na mto wamii , yaani pembezoni mwa mto wami , karibu na kambi ya kiwanda cha miwa cha mtibwa (dakawa).

Kuna mchongo wako ewe kijana wa kupiga pesa .

Kuna mapori ya bure kabisa una feka kwa tani yako unapata shamba la umwagiliaji , unalima misimu mitatu bure , baada ya hapo unakodishiwa na kupewa fursa ya kununua kwa bei sawa na bure.

Ewe kijana shtuka sikubembelezi gademitt.
 
Pale turiani Morogoro, kuna sehemu inaitwa dakawa karibu na mto wamii , yaani pembezoni mwa mto wami , karibu na kambi ya kiwanda cha miwa cha mtibwa ( dakawa).

Kuna mchongo wako ewe kijana wa kupiga pesa .

Kuna mapori ya bure kabisa una feka kwa tani yako unapata shamba la umwagiliaji , unalima misimu mitatu bure , baada ya hapo unakodishiwa na kupewa fursa ya kununua kwa bei sawa na bure.


Ewe kijana shtuka sikubembelezi gademitt.
Ngoja nikimbie nijee

Kaka karibu pombe
 
downloadfile-73.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom