Mabroo hatutoi connection, dogo usizubae stuka!

Mabroo hatutoi connection, dogo usizubae stuka!

Pale turiani Morogoro, kuna sehemu inaitwa dakawa karibu na mto wamii , yaani pembezoni mwa mto wami , karibu na kambi ya kiwanda cha miwa cha mtibwa ( dakawa).

Kuna mchongo wako ewe kijana wa kupiga pesa .

Kuna mapori ya bure kabisa una feka kwa tani yako unapata shamba la umwagiliaji , unalima misimu mitatu bure , baada ya hapo unakodishiwa na kupewa fursa ya kununua kwa bei sawa na bure.


Ewe kijana shtuka sikubembelezi gademitt.
Haha...iyo fursa imekaa kutufokea Sana hasa Sisi vijana wasio na hela .......okay okay tajiri mwenye fwedha akajitafutie shamba nitakuwa apo kama mkulima mbobezi
 
Pale turiani Morogoro, kuna sehemu inaitwa dakawa karibu na mto wamii , yaani pembezoni mwa mto wami , karibu na kambi ya kiwanda cha miwa cha mtibwa ( dakawa).

Kuna mchongo wako ewe kijana wa kupiga pesa .

Kuna mapori ya bure kabisa una feka kwa tani yako unapata shamba la umwagiliaji , unalima misimu mitatu bure , baada ya hapo unakodishiwa na kupewa fursa ya kununua kwa bei sawa na bure.


Ewe kijana shtuka sikubembelezi gademitt.
Gaddemit
 
Haha...iyo fursa imekaa kutufokea Sana hasa Sisi vijana wasio na hela .......okay okay tajiri mwenye fwedha akajitafutie shamba nitakuwa apo kama mkulima mbobezi
Tafuta pesa bwashee licha ya mimi kukufokea dunia ita ku fu,,ck kabisa
 
Hapa yametajwa maeneo matatu tofauti yasiyopakana Sasa which is which MIN-me kwanza Dakawa pili turiani tatu mtibwa. Dakawa ipo barabara kuu ya Dom Moro turiani ipo km kama 59 toka Dakawa njiani na mtibwa kiwandani ni turiani ndani ndani ukitokea madizini kama unaenda Kijiji Cha kunke Sasa Hilo eneo liko maeneo gani?
Turiani = madizini , madizini kwendwa dakawa kwa pikipiki ni 10k tu
 
Mkuu mbele ya madizini ipi? Mbona hueleweki mara useme dakawa mara turiani mbele ya madizini.
Ebu weka mambo kiufasaha usije ukapotosha watu.

Au zinaongea nyagi dry mkuu?!
Pale madizini panda boda wambie wakupeleke kambi ya dakawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom