Mabroo hatutoi connection, dogo usizubae stuka!

Mabroo hatutoi connection, dogo usizubae stuka!

Pale turiani Morogoro, kuna sehemu inaitwa dakawa karibu na mto wamii , yaani pembezoni mwa mto wami , karibu na kambi ya kiwanda cha miwa cha mtibwa ( dakawa).

Kuna mchongo wako ewe kijana wa kupiga pesa .

Kuna mapori ya bure kabisa una feka kwa tani yako unapata shamba la umwagiliaji , unalima misimu mitatu bure , baada ya hapo unakodishiwa na kupewa fursa ya kununua kwa bei sawa na bure.


Ewe kijana shtuka sikubembelezi gademitt.
Unewasanua washindwe wao
 
Pale turiani Morogoro, kuna sehemu inaitwa dakawa karibu na mto wamii , yaani pembezoni mwa mto wami , karibu na kambi ya kiwanda cha miwa cha mtibwa ( dakawa).

Kuna mchongo wako ewe kijana wa kupiga pesa .

Kuna mapori ya bure kabisa una feka kwa tani yako unapata shamba la umwagiliaji , unalima misimu mitatu bure , baada ya hapo unakodishiwa na kupewa fursa ya kununua kwa bei sawa na bure.


Ewe kijana shtuka sikubembelezi gademitt.
This is brotherly love
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom