Mabro na swali

Mfano mdogo wako wakiume ana ukaribu sana na mkeo yaani unakuta jikoni wanapiga story mpaka wanacheka ile mbaya ila mkeo akirudi chumbani mnacheka kiasi tofauti na akiwa na mdogo wako utachukua hatua gani?
Sasa kwanini mcheke kidogoπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… fanya mcheke sana mkiwa chumbani ili mzani ubalance mkuu.
 
Hakunashida mbona yupo na shemeji yake hii ndo nayopitia kuna demu wa mshikaji napiga nae sana mastory sasa kama jamaa yake mume wake anaona wivu kinyama anaishi napiga kumbe wala ni story inapaswa kujiamini
kwa hiyo na wewe demu wako akiwa anapiga story na mshkaji, hadi fununu zinakufikia kuwa jamaa ana mmanua demu ako utalipokeaje?
 
Muda mnapika wali wa nazi ya kukuna, muda huo wife wake nae anakunwa
 
Dogo anashindwa kujua mipaka ya heshima yake mtoto wa kiume kama Dada/Mama/Shemeji akiwa yupo jikoni anapika yeye haruhusiwi kukaa jikoni akiingia kuna shida muhimu sana
Ana muitaga anakaa kwenye kiti wanapiga story mpaka wamenipa nik name naitwa bwana nguzo kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…