Maboresho ya Mahakama mbalimbali nchini

Mathayo Fungo

JF-Expert Member
Nov 13, 2018
319
510
Baadhi ya mahakama ambazo Serikali ya awamu ya tano imejenga kwa lengo la kuboresha miundombinu na mazingira ya mahakama hizo ni kama zinavyoonekana katika picha.

Majengo ya awali ya mahakama hizo yalikuwa yanatia huruma sana. Hii inaonesha jinsi gani Serikali ya awamu ya tano inavyodhamiria kuongeza miundombinu na kujali haki kwa wananchi wa Tanzania.

Majengo ya awali yalikuwa hayajitoshelezi, ofisi za mahakimu hazikuwa mzuri, samani mbalimbali kama vile viti, meza na makabati vilikuwa vimechoka sana.

Lakini kwa sasa baada ya ujio wa Mhe. Rais Dk.JOHN POMBE MAGUFULI mambo haya yaliyokuwa yakionekana kuwa yameshindikana kufanyika nchini yameweza kufanyika na tena kwa kiwango kikubwa.

#TanzaniaKwanza #Tanzaniampya #ChangeTanzania

IMG_20191217_214247.jpeg
IMG_20191217_214244.jpeg
IMG_20191217_214237.jpeg
IMG_20191217_215120.jpeg
IMG_20191217_215123.jpeg
IMG_20191217_215126.jpeg
IMG_20191217_215128.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa ujinga wako hapa,mbona ya chato hujaweka hapa?je inafanana na hizo?ukiwa mjinga ogopa kukutana na mwelevu,
Kwanza tuko busy kufuatlia uchaguzi chadema hivyo usanii wako na jiwe peleka huko kwenu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu kwa nini wewe usiweke ya Chato? BTW Mwenyekiti wenu kasemaje kwenye kauli mbiu yenu?
 
Toa ujinga wako hapa,mbona ya chato hujaweka hapa?je inafanana na hizo?ukiwa mjinga ogopa kukutana na mwelevu,
Kwanza tuko busy kufuatlia uchaguzi chadema hivyo usanii wako na jiwe peleka huko kwenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu jibu ki great thinker ucjibu ki-MMU.....hiyo mahakama ya chato inahusiana vp na ujenzi wa mahakama zingine?
 
Nliambiwa ni fedha za world bank na serikali inachangia kidogo
Mkakati wa kuzijenga umeanza tangu awamu ya JK
Awamu hii inabidi wafanye maboresho makubwa zaidi na waboreshe maslahi ya wafanyakazi wao ikiwemo
Kuwapandishia madaraja na mishahara ili waepuke rushwa.
Uboreshaji wa mahakama
Uendane sambamba na kuwaboreshea maslahi watumishi wake.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Majengo yako poa, muhimu sana kuzingalia sheria zetu zote (Our Criminal Justice System) mfumo mzima wa sheria zetu, magereza yetu, haki za maskini, anyone, haki za wote hata matajiri. Wanasheria, magereza yetu, polisi wetu, mahakama zetu.

Unajua tumerithi sheria zetu nyingi kutoka kwa Waingereza kama kifungo miaka 30, wamebadili sana sheria kubalanced punishment and correction.
 
Kuna baadhi ya wadau katika mitandao ya kijamii wameonyesha kushtushwa na ujenzi wa mahakama mpya ya kisasa wilayani Chato na wengine kwenda mbali zaidi na kuonyesha hisia za upendeleo kwa Wilaya hiyo kwa kuwa Mhe Rais anatoka eneo hilo.

Ama kweli jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza, ujenzi wa mahakama ya Chato ni sehemu tu ya mradi mkubwa wa ujenzi wa Mahakama za kisasa nchi nzima kwa lengo la kuboresha mazingira ya utendaji kazi na kuharakisha utoaji wa haki.

ecc69397-2ba5-443d-b574-4930abcdcb57.jpg
 
Shigganza,
Hii ni danganya toto, unataka kumwadhibu usiyempenda unachanganya na watoto wengine ionekane ni adhabu ya jumla ! Mnadhani nani mtoto hapa. Hivi kwanini hamna akili hata kidogo!
 
Back
Top Bottom