Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,268
- 5,815
Ubaguzi na UPENDELEO ndio msingi mkuu wa ccm kwa chato
Umetaka mahakama ya Chato. . .picha hiyo hapo ila haiingia kwa mahakama ya Musoma. Halafu siku nyingine acha ushamba wa majengoOnyesha na ya chato tuone kama inafanana na hizo,na siku nyingine ukome na usanii wako,madikteta wakubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haziwezi kufanana maana chato DM na musoma ni HCUmetaka mahakama ya Chato. . .picha hiyo hapo ila haiingia kwa mahakama ya Musoma. Halafu siku nyingine acha ushamba wa majengoView attachment 1295874
View attachment 1295873
Akili ya kike kabisa !!! Kwa hiyo uonavyo wewe bora zingeachwa zote😂😂😂😂 watanzania bana, yani hatukosi cha kukosoa, huu ni ugonjwa mbaya sana lakini la kutia tumaini kwamba hizi kelele ni za mitandaoni tu nje ya humu mambo ni tofauti sana.Shigganza,
Hii ni danganya toto, unataka kumwadhibu usiyempenda unachanganya na watoto wengine ionekane ni adhabu ya jumla ! Mnadhani nani mtoto hapa. Hivi kwanini hamna akili hata kidogo!
Kama mama yako maana naye ni mwanamke. Akili ya mama yako ya Kike (utajua ulichomaanisha)Akili ya kike kabisa
Highly prestigious flyover... Siyo highly prestige flyover. Jifunze English grammar vizuriKishindo cha awamu ya tano, daraja la Mfugale, our highly prestige FlyoverView attachment 1295745
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli!Highly prestigious flyover... Siyo highly prestige flyover. Jifunze English grammar vizuri