kivipi yani?
Anunue Matoleo Mapya Ya SmartphoneMkuu nunua smartphone achana na Nokia java ya 2000 utakosa uhondo kama lote
Ataweza bei kuna moja Samsung A100 funga kabati ya simu zote za SamsungAnunue Matoleo Mapya Ya Smartphone
Muhimu sana hiiNaomba kuwe na option ya ku-edit Heading ya thread
Leo ndo nimeinuka kweny huu usingizi hata mie sipati notification kumbe kuna mabadiliko mweehNaomba mrekebishe kwenye notifications
Mimi Nina karibu wiki tatu sipati notifications
Halafu naomba kuwe na option ya ku-delete threads
Rudisheni notification. Ni aibu sana JF kuwa kama makande
NashauriWakuu,
Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.
Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.
Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.
Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.
Maboresho ya Miundombinu yamepangwa kufanyika usiku wa manane wa tarehe 26/03/2019. Ni nyongeza ya servers kuongeza ufanisi zaidi.
Maboresho upande wa mwonekano (UI) yatafanyika Machi 30, 2019.
Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.