Maboresho ya JF - 2019

Maxence Melo naomba fanyia mabadiliko ya hiyo (thanks icon) itoe na rudisha ile (like). alafu weka button mtumiaji awe na uwezo wa kuchagua atumie lite version au hii new version ambayo kwa sasa wenye simu za nokia ukiifungua JF unakutana na ujumbe huu:- Javasript is enable for a better experience
 
Naomba mrekebishe kwenye notifications

Mimi Nina karibu wiki tatu sipati notifications


Halafu naomba kuwe na option ya ku-delete threads
 
Aisee swala langu la notifications

Nimewatumia meseji kimya we ulinijibu ukapotelea hewani nikaandika na thread kuhusu hii issue n penyewe kimya hakuna moderator aliyejibu

Hii ni dharau kwa sisi wateja wenu !

Kwa nini mnafanya hivyo

Au sisi ndo tuna uhitaji mkubwa na jf is that what you mean ?
 
Naomba mrekebishe kwenye notifications

Mimi Nina karibu wiki tatu sipati notifications


Halafu naomba kuwe na option ya ku-delete threads
Leo ndo nimeinuka kweny huu usingizi hata mie sipati notification kumbe kuna mabadiliko mweeh
 
Toka nitoe hii post sijawahi kupata notification tena zinaonekana za mwaka 2019
 
Wakuu,

Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.

Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.

Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.

Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.

Maboresho ya Miundombinu yamepangwa kufanyika usiku wa manane wa tarehe 26/03/2019. Ni nyongeza ya servers kuongeza ufanisi zaidi.

Maboresho upande wa mwonekano (UI) yatafanyika Machi 30, 2019.

Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.
Nashauri
  1. Hapa kitumike Kiswahili kote kuwawezesha wasiojua Kiingereza waelewe
  2. Liwepo eneo maalumu kwaajili ya Kiingereza tu
1664189843537.png
 
Back
Top Bottom