cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,896
- 78,940
Wakuu wa JF ,hivi hakuna uwezekano wa Kua tuna set reminder(iwe inapiga hata ka alarm flan hivi).
Nikimaanisha kama kuna uzi nimeupenda lkn sina muda wa kuusoma kwa wkt huo then na-set hapo hapo kwny huo uzi reminder ili ikifika muda flani inishtue nisome huo uzi wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo ujiite Daudi de classic na kesho ujiite “Daudi de Classy” na keshokutwa ujiite “Mtambaa Panya” wiki mbili baadae ujiite “Mrembo wa Kigogo” mwezi mmoja baadae ujiite “Nyongo Mkalia Ini” baada ya miezi 2 ujiita “Mkapa Mpya” miezi 3 baadae ujiite “Cha Upele” etc?
Hapana, kwa JF tunajaribu kudhibiti hili!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa anamikwala sana.Mmeshawahi kujaribu kufanya testing (kwa upande wa miundombinu) kama third part anaweza kufanya haya anayosema huyu member?
View attachment 1058626
Kwa manufaa ya uzi wetu ule wa kuondoa stress, moderators, tafadhali copy post hii na kui paste kule kwenye uzi wetu huo pendwa wa kuondoa stress.Leo ujiite Daudi de classic na kesho ujiite “Daudi de Classy” na keshokutwa ujiite “Mtambaa Panya” wiki mbili baadae ujiite “Mrembo wa Kigogo” mwezi mmoja baadae ujiite “Nyongo Mkalia Ini” baada ya miezi 2 ujiita “Mkapa Mpya” miezi 3 baadae ujiite “Cha Upele” etc?
Hapana, kwa JF tunajaribu kudhibiti hili!
Shukrani na Hongera kwa maboresho yaliyofanyika. Na ukweli mmetekeleza maoni ya walio wengi. Mfano, kurudisha 'kwa nguvu' kitufe cha 'dislike' na kuongeza viashiria mbalimbali jinsi member anavyoitazama posti iliyowekwa jukwaani.Maboresho ya Miundombinu yamepangwa kufanyika usiku wa manane wa tarehe 26/03/2019. Ni nyongeza ya servers kuongeza ufanisi zaidi.
Mkuu sekyu vere machi sekyu so machi kwa kitufe cha dislike!Hatuzimi 😊
'Thanks' na 'Like' nadhani yana maana sawa, yote yanaonyesha kukubaliana na kitu husika.
Kuna kitufe cha dislike eti
hapo nimeeelewa mkuu shukrani sana
Sie tunaotumia simu hiyo cursor tunapapasia wapi?Ukipapasa cursor ndio unaona vyote ila kabla ya kufanya hivyo unaona thanks pekee. Tatizo langu bado ni kuwa kwa nini thanks iwe ni default? Halafu, katika hali ya kawaida huwezi kupapasa na cursor wakati hakuna other options kwenye label ya kitufe.
Umeiona?Sioni dislike... Pia update kwenye Play store naona iko Feb 1, 2019. View attachment 1066947
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia app au browser?