Mabomu Zanzibar.

Mabomu Zanzibar.

Hivi vyombo vya habari sometimes vinachanganya, mi nimesikia kwenye jahazi repot a aw zanzibar akisema kuwa uamsho wanaimba kuwa serikali ya mulenga no haikuchukua hatua za makusudi kusaidia ajali na :eek2:kuwa ilitokea karibu na Dar so hawataki muungano
 
uamsho walikuwa wanapiga rakaa au mambo ya taraweli yameaanza...?hahaaa uamsho mnatishaaaa ...
 
WanaJF, hapo nilipo nimedaka Bomu moja, hebu nishaulini nilifanyaje!.
 
kaka upo? siku nyingi sana , Tangu katoke mpaka hapa. Lakini kazi njema
Kwani shida yako nini mkuu? Mbona sijaomba utoe biography yangu na sipendi HATA SIKU MOJA. Umeona Kasemi ni mbali? Kuwa hapa ni kuwa downgraded au kuwa updraded? Sijajiunga na hili jamvi leo kamanda!!!!
 
naona kautulivu ka tanzania kaliko kuwa kanaitwa amani kanaanza kutoweka kw mbaaaaaali...........
 
wanadai serikali ya JMT ilichelewa kuokoa majeruhi na mali...kwa hiyo hawaoni umuhimu wa muungano..kazi hipo..lets them go!
 
kikwete kazi unayo huku madaktari, kule uamsho huku peoples power...hahaha
 
Wakuu, kweli Tanzania kuliko tuijuayo. Yaani ule usemi wa Kisiwa cha Amani unatoweka taratiiibu.
 
kwan uamsho na chadema si sawa tu jaman.wote ni M4C.mungu bariki wote.
 
WanaJF, hapo nilipo nimedaka Bomu moja, hebu nishaulini nilifanyaje!.

umenifanya nicheke kwa kukuonea huruma, kwamba mabomu ya machozi yanadakwa?!, kwa vile hunasifa za kujinga na JKT au JKU nenda hata mafunzo ya mgambo angalau utajua vinavyodakwa na visivyo dakwa la sivyo sinema za Rambo zitakudanganya sana. Saumu njema.
 
Kwani shida yako nini mkuu? Mbona sijaomba utoe biography yangu na sipendi HATA SIKU MOJA. Umeona Kasemi ni mbali? Kuwa hapa ni kuwa downgraded au kuwa updraded? Sijajiunga na hili jamvi leo kamanda!!!!
Sikufanya kwa nia mbaya ,nilikuwa nakupongeza tu kaka. Sikumaanisha kukuudhi bali sijakuona siku nyingi. Yote mema tu
 
Back
Top Bottom