Habari nilizozipata muda huu kutoka kwa jamaa walioko huko, kwamba eneo la Darajani kumetokea vurugu na sasa hivi jeshi la polisi wanatuliza fujo kwa mabomu.
Nasikiliza Times fm wanasema watu wa uamsho walikuwa wamejikusanya kwaajili ya kufanya dua ya pamoja kuwaombea marehemu wa ajali ya meli!Lakini hawana kibali na nasikia serikali imekataza mikusanyiko ya aina yeyote ile ndiyo polisi wamevamia kuwasambaratisha!
Safi sana uamsho lianzisheni tu mpaka kieleweke'kuungana na li nchi lisilo na mila wala desturi ndio tabu yake hyo'mimi mbara pyua ila pia sipendi limuungano hili naomba kila siku life tu'
Polisi wapiga mabomu na risasi kutawanya waislamu waliokuwa mskn wa mbuyuni wakifanya muhadhara.
Ilikuwa zamu ya amir farid kuzungumza bada kumaliza kuzungumza kwa sh suleiman haji.mara wakatokea polisi nakuanza kurusha mabomu bila sababu.bila yakuzingatia taifa kama limo kwnye msiba kwa kupoteza jama zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.