Zero unit
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 288
- 220
Cjui ndo umemka sahvJumapili tulivu.
Maeneo ya Bomambuzi unaendelea uchaguzi wa diwani ambapo leo jumapili Mh lowasa ametia timu.watu ni nyomi ya hatari.
Wameanza kufyatua risasi za moto na mabomu ya machozi ili kutawanya umati.