Wana matatizo hao.Waislamu hawapendi kabisa kuishi kwa amani
Wana matatizo hao.
Fatilia data za uhakika utujuze. Sio habari za kudhania.Nadhani ni ile ishu ya waislam imeanza upya.
matatizo wanayo hao wanaotuchokoza.. Si mnataka 2oneshane ubabe....
Sele kwa ninachokifahamu juu ya suala la Mwanza sio kuwa mmechokozwa ila mlitaka wenyewe
Si ninyi wenyewe ndiyo mliosema Quran hata ikichomwa haiungui na ikiungua siku 3 alieichoma anakufa na mkatoa ruhusa kwa mchungaji kuichoma na ikaungua na bado anadunda tu mtaani akiwa hai?
Sasa hapo utasema Mchungaji au Wakristo ni wachokozi? Au hujalifahamu vema suala la Mwanza?
Sele kwa ninachokifahamu juu ya suala la Mwanza sio kuwa mmechokozwa ila mlitaka wenyewe
Si ninyi wenyewe ndiyo mliosema Quran hata ikichomwa haiungui na ikiungua siku 3 alieichoma anakufa na mkatoa ruhusa kwa mchungaji kuichoma na ikaungua na bado anadunda tu mtaani akiwa hai?
Sasa hapo utasema Mchungaji au Wakristo ni wachokozi? Au hujalifahamu vema suala la Mwanza?
astaghfilullah,huyo muislam aloruhusu qur'an ichomwe ni fedhuli
Embu weka data zote, unatutisha wengine tuna ndugu huko
Siyo maandamano ya waislam, ni mpambano kati ya polisi wetu na majambazi waliovamia kutaka kupora pesa kwenye Petrol station - MOIL. Majambazi wawili chali, watatu taabani. Waislam wamepanga kuandamana baada ya sala ya Ijumaa. Nao nadhani wajiandae maana polisi wameeleza wazi kuwa wamejipanga vizuri kupambana na wanaotafuta ugomvi wa kidini.