young activist
Member
- Oct 24, 2011
- 33
- 4
Ndo intelijensia tunayoitaka constructive sio intelijensia CHADEMA TU..........
Ndo intelijensia tunayoitaka constructive sio intelijensia CHADEMA TU..........
Majambazi waliokuwa wamesheheni zana nzito wavamia duka la hardware nyerere Road,bahati jeshi letu la polisi lilikuwa limeshapata taarifa za kiintelejensia.kilichotokea ni mpambano mkali wa risasi ,,,mwisho wa siku majambazi wawili wamesambaratishwa risasi palepale na watatu wapo wanakula virungu