tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,123
Maafa yalioikumba Tanzania huko Kagera na sehemu zingine yameleta simanzi kwa watanzania wengi. Hiyo imewalazimu watu wa kada tofauti tofauti kufika eneo lile. Kuanzia wa upinzani na CCM na serikali, mpaka majirani kama Kenya wamefika.
CCM wametembelea bila shida, Waziri Mkuu bila shida, upinzani akina Mbowe na Mbatia walipata figisu figisu kidogo.
Lakini alipoingia Lowassa police wakajaza magari mafuta mabomu wakapakia, bunduki wakazikoki na hatimaye wakatawanya watu wanaompokea anapowasili kwanini? Kwani hao wengine hawakupokelewa na watu?
Swali Lowassa ana nini kibaya katika Serikali hii?
Kwanini Serikali inamwandama kila anapokwenda?
CCM wametembelea bila shida, Waziri Mkuu bila shida, upinzani akina Mbowe na Mbatia walipata figisu figisu kidogo.
Lakini alipoingia Lowassa police wakajaza magari mafuta mabomu wakapakia, bunduki wakazikoki na hatimaye wakatawanya watu wanaompokea anapowasili kwanini? Kwani hao wengine hawakupokelewa na watu?
Swali Lowassa ana nini kibaya katika Serikali hii?
Kwanini Serikali inamwandama kila anapokwenda?