Mabomu msafara wa Lowassa, hii inaashiria nini?

Mabomu msafara wa Lowassa, hii inaashiria nini?

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] umenichekesha sana

Halafu kibaya zaidi Lowasa sio mtu wa kuongea hovyo hovyo ,hivyo ukimya wake unatisha ,yaani unashindwa kubashiri next move yake
Mzee bado anaamini ana nafasi ya kuingia Ikulu. Pole zake sana
 
Inashangaza sana!!Huyu Mzee wanamuandama sana...Mpaka sasa tunaanza kuamini kweli walimuibia kura zake.Maana yaani huku na huko ni kufitini tu.Walianza kwa kumzushia ugonjwa,wengine wakaanza wao kufa na wengine sasa tumeona kwenye kurasa za mbele za magazeti wakiwa vitandani wanapewa pole.Mungu apishie mbali wanaweza kutangulia wao na jamaa akaendelea kubaki.

Mwanadamu hajakamilika,inawezekana ni kweli huyo Eddo ni "Fisadi" mkubwa sana...Lkn ni dhahiri sasa kuwa huyo Eddo ni "Mtu mwenye hekima" sana ktk wanasiasa wa level yake.Ana kifua,anastahimili,yote yanayotupiwa kwake anabariki na kusamehe...Muda wote tabasamu na maneno ya kusamehe.Alaumu mtu wala hatukani mtu...Amekaa katikati ya wale waliomtukana miaka mingi na akasema "Tusameheane na tusonge mbele"...Aliokaa nao miaka zaidi ya 40 wakimpenda na kumpa vyeo ndio leo wanamtukana na kumsimanga.Lkn amekaa kimya,akipata muda wa kujibu atasema "Nimesamehe,sina kinyongo".

Walimwambia kajiny....ea...Mbele ya mke,watoto na wajukuu wake.Alitabasamu na kusema "Siasa zao si za kistaraabu".Akapiga moyo konde na kwenda mbele....Sikuwahi kumpenda huyu jamaa,lkn mapito yake yamenifundisha kitu kikubwa sana ktk ulimwengu huu na walimwengu!!SILAHA KUBWA YA KUKABILIANA NA MAJARIBU NI UKIMYA MKUU NA HEKIMA!

Kuna jamaa yeye akitekenywa kidogo tu anaibuka...Sijaribiwi,ooooh ntafunga mtu!!Oooh anayeficha sukari atahama nchi!Mara wenye hela na matajiri lazima waishi kama Mashetani!!Akistuliwa kidogo utasikia natumbua mtu sasa hivi...Watu Ijumaa walikuwa wanapanda ndege wanaenda Dubai,Jpili wanarudi na J3 wapo kazini...Hawa utawala wangu Dubai wataisikia!!ha ha ha ha hizi ni "Poverty Mentality"....Mtu anafikiri kuishi kimasikini ndio sifa...Yaani fikra za kimasikini zimeganda akilini mpaka mtu anaona kuishi maisha mazuri ni dhambi ila kuishi kimasikini ndio fahari.

Huyu akiona watu wanaenda Ibiza weekend anaumia....Hataki watu waende na familia Znz weeknd na jpili warudi Dsm....Edward unawafundisha sana watu nini maana ya "HEKIMA"

Sasa ndio nagundua..Mfalme Suleimana na ufahari wake wote,alipoambiwa na Mungu anataka apewe nini?badala ya kuomba majeshi na watumwa wengi na fahari ya mifugo....Aliomba HEKIMA!

Aisee wewe ndugu, laiti kama mjadala wa mada hii ungefungiwa hapa, basi ungefungwa na comment yako hii!!

You are very good bro and it's possible that you know God and you live in him and him in you!!
 
Inashangaza sana!!Huyu Mzee wanamuandama sana...Mpaka sasa tunaanza kuamini kweli walimuibia kura zake.Maana yaani huku na huko ni kufitini tu.Walianza kwa kumzushia ugonjwa,wengine wakaanza wao kufa na wengine sasa tumeona kwenye kurasa za mbele za magazeti wakiwa vitandani wanapewa pole.Mungu apishie mbali wanaweza kutangulia wao na jamaa akaendelea kubaki.

Mwanadamu hajakamilika,inawezekana ni kweli huyo Eddo ni "Fisadi" mkubwa sana...Lkn ni dhahiri sasa kuwa huyo Eddo ni "Mtu mwenye hekima" sana ktk wanasiasa wa level yake.Ana kifua,anastahimili,yote yanayotupiwa kwake anabariki na kusamehe...Muda wote tabasamu na maneno ya kusamehe.Alaumu mtu wala hatukani mtu...Amekaa katikati ya wale waliomtukana miaka mingi na akasema "Tusameheane na tusonge mbele"...Aliokaa nao miaka zaidi ya 40 wakimpenda na kumpa vyeo ndio leo wanamtukana na kumsimanga.Lkn amekaa kimya,akipata muda wa kujibu atasema "Nimesamehe,sina kinyongo".

Walimwambia kajiny....ea...Mbele ya mke,watoto na wajukuu wake.Alitabasamu na kusema "Siasa zao si za kistaraabu".Akapiga moyo konde na kwenda mbele....Sikuwahi kumpenda huyu jamaa,lkn mapito yake yamenifundisha kitu kikubwa sana ktk ulimwengu huu na walimwengu!!SILAHA KUBWA YA KUKABILIANA NA MAJARIBU NI UKIMYA MKUU NA HEKIMA!

Kuna jamaa yeye akitekenywa kidogo tu anaibuka...Sijaribiwi,ooooh ntafunga mtu!!Oooh anayeficha sukari atahama nchi!Mara wenye hela na matajiri lazima waishi kama Mashetani!!Akistuliwa kidogo utasikia natumbua mtu sasa hivi...Watu Ijumaa walikuwa wanapanda ndege wanaenda Dubai,Jpili wanarudi na J3 wapo kazini...Hawa utawala wangu Dubai wataisikia!!ha ha ha ha hizi ni "Poverty Mentality"....Mtu anafikiri kuishi kimasikini ndio sifa...Yaani fikra za kimasikini zimeganda akilini mpaka mtu anaona kuishi maisha mazuri ni dhambi ila kuishi kimasikini ndio fahari.

Huyu akiona watu wanaenda Ibiza weekend anaumia....Hataki watu waende na familia Znz weeknd na jpili warudi Dsm....Edward unawafundisha sana watu nini maana ya "HEKIMA"

Sasa ndio nagundua..Mfalme Suleimana na ufahari wake wote,alipoambiwa na Mungu anataka apewe nini?badala ya kuomba majeshi na watumwa wengi na fahari ya mifugo....Aliomba HEKIMA!
Mkuu umennifurahisha sana! Naomba uende hapo dukani Kwa Mangi chukua coca baridiiiiiiiii mwambie nitakuja kulipa.
 
Yeye hakufanya siasa yo yote. Alikwenda kama mtu mwingine yeyote. Lakini kwa kuwa ana nyota watu wakimwona wanamfurahia. Wivu wa nino jama?
Na bunduki za nini? Hivyo mnamwongezea umaarufu zaidi 🙂
 
Nchi hii hatutafika popote, hao viongozi wanatengeneza sumu mbaya siku za usoni
 
Ni fisadi papa tena anaye tumia fedha alizo dhulumu kwa wanyonge wa nchi ii kuwalaghai.
 
Nchi hii kamwe haiwezi kuongozwa na fisadi papa, ambaye wananchi wanamfahau.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] umenichekesha sana

Halafu kibaya zaidi Lowasa sio mtu wa kuongea hovyo hovyo ,hivyo ukimya wake unatisha ,yaani unashindwa kubashiri next move yake
movements za mamvi ni very interesting
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] umenichekesha sana

Halafu kibaya zaidi Lowasa sio mtu wa kuongea hovyo hovyo ,hivyo ukimya wake unatisha ,yaani unashindwa kubashiri next move yake
Hapo umenena mkuu mtu mkimya ni vigumu kumjua
 
Back
Top Bottom