Maboksi yenye nyaraka za sensa yalowana kwa maji Kibaha

THE COMMISSIONER

JF-Expert Member
Dec 3, 2012
267
111
Wakuu,

Nchi imetumia mabilioni ya fedha kufanya zoezi la sensa mapema mwezi Agosti mwaka huu.

Kwa sasa zoezi linaloendelea ni kuchambua na kuziweka takwimu pamoja kama zilivyokusanywa.

Kwa kile kinachoonekana ni uzembe, maboksi yenye data za sensa hii yamekusanywa KIBAHA kwenye eneo ambalo halifanani kabisa na unyeti wa kazi hii yaani kwenye jengo kuu kuu liliotoboka paa zake.

Matokeo yake ni kwamba maelfu ya maboksi yenye data amabazo zilikuwa bado hazijahakikiwa yalimiminikiwa na maji ya yaliyojaa kwenye vyumba vya jengo hilo na nyaraka zilizomo ndani kuharibika kabisa na hivyo kutokuafaa kwa kazi yoyote.

Athatri yake ni kwamba matokeo ya Sensa hayatakuwa na ukweli wowote kwani dat nyingi zimepotea na taifa litakuwa limeingia kwenye HASARA ya DECADE
 
Kwani wewe hujui sensa yenyewe ilifeli hata kabla ya zoezi lenyewe kuanza.
 
Malengo gani? Kama ni ya kupata takwimu za watu na makazi yao basi hapo wamefeli kwani nyaraka hizo hazikuwa zimeingizwa kwenye majumuisho ya nchi nzima .
wewe ni mgeni na nchi hii?ina maana hujui malengo yao ni ulaji hizo data watapika tu no problem.
 
Wakuu,

Nchi imetumia mabilioni ya fedha kufanya zoezi la sensa mapema mwezi Agosti mwaka huu.

Kwa sasa zoezi linaloendelea ni kuchambua na kuziweka takwimu pamoja kama zilivyokusanywa.

Kwa kile kinachoonekana ni uzembe, maboksi yenye data za sensa hii yamekusanywa KIBAHA kwenye eneo ambalo halifanani kabisa na unyeti wa kazi hii yaani kwenye jengo kuu kuu liliotoboka paa zake.

Matokeo yake ni kwamba maelfu ya maboksi yenye data amabazo zilikuwa bado hazijahakikiwa yalimiminikiwa na maji ya yaliyojaa kwenye vyumba vya jengo hilo na nyaraka zilizomo ndani kuharibika kabisa na hivyo kutokuafaa kwa kazi yoyote.

Athatri yake ni kwamba matokeo ya Sensa hayatakuwa na ukweli wowote kwani dat nyingi zimepotea na taifa litakuwa limeingia kwenye HASARA ya DECADE
mkuu naweza kusema upo wapi sasa hivi..hii ni inside info...
 
Katavi mahindi yanalowa kwemye maghaLa,Morogoro Mbolea imelowa na kuganda,unashangaa karatasi za sensa huo ndio mtindo wa serikali tumia fedha halafu choma fedha hizo
 
Ngoswe, Penzi kitovu cha Uzembe.

Mkuu umenikumbusha mbali dah! ..................hii ndo Tanzania inasikitisha lakini
.........bila shaka hii ilikuwa kazi nzuri ya mtunzi Zainab Mwanga kama sikosei au!?
 
Lakini mpk lini tutaendelea kuendeshwa na wehu?
One said "the triumph of evil is for good men to do nothing" mpk lini tutanyamaza??
Hii nchi imekuwa ya ajabu sana!
 
Hata bila kunyeshewa hiyo sensa ilishaharibika,watu wengi hawakuhesabiwa na data ziipikwa na watendaji,makarani na kadhalika,makarani wengi wa hiyo sensa walikuwa hawajui hata kujaza hayo madodoso,na pia unaambiwa utakuta kwenye hayo madodoso mtu wa umri wa miaka 6 kaandikwa amemaliza chuo kikuu na kaoa,siajabu wamefanya makusudi kuweka hayo madodoso kwenye jumba bovu ili mambo kuziba udhaifu na kusingizia kuvuja kwa paa,hapo ndipo tulipofikishwa wa TZ
 
Hata bila kunyeshewa hiyo sensa ilishaharibika,watu wengi hawakuhesabiwa na data ziipikwa na watendaji,makarani na kadhalika,makarani wengi wa hiyo sensa walikuwa hawajui hata kujaza hayo madodoso,na pia unaambiwa utakuta kwenye hayo madodoso mtu wa umri wa miaka 6 kaandikwa amemaliza chuo kikuu na kaoa,siajabu wamefanya makusudi kuweka hayo madodoso kwenye jumba bovu ili mambo kuziba udhaifu na kusingizia kuvuja kwa paa,hapo ndipo tulipofikishwa wa TZ


Duh anamiaka sita yuko chuo kikuu?

Acha utani.
 
Lakini mpk lini tutaendelea kuendeshwa na wehu?
One said "the triumph of evil is for good men to do nothing" mpk lini tutanyamaza??
Hii nchi imekuwa ya ajabu sana!

Na juzi juzi Raila Odinga amesema " Bad leaders are ellected by good citizen who are not voting" Ni wajibu wetu kujiandikisha na kupiga kura ili tuondokane na huu ujinga!
 
Back
Top Bottom