Mabinti zangu acheni matumizi hatari ya P2

Mabinti zangu acheni matumizi hatari ya P2

twende wote

Member
Joined
Mar 29, 2021
Posts
50
Reaction score
84
Niwasihi wadogo zangu haya matumizi ya haya madawa acheni yatawaletea madhara ya ukubwani, hakuna wa kuwasemea ali mradi ni biashara za watu, ila nawaonea huruma, acheni haya mambo. Kama unashindwa kuwa na subira maliza masomo yako olewa.
 
Mkuu hapa hakuna atakayekuelewa miguu ishafunguka, na pale kati pamekuwa njia muhimu kuelekea uchumi wa mabinti wa siku hizi
 
Punde tu utaonekana viunga vya nyuzi ya "kula tunda kimasihara" ukisimulia jinsi ulivyo mbananisha mtoto wa form 4 uchochoroni
 
Niwasihi wadogo zangu haya matumizi ya haya madawa acheni yatawaletea madhara ya ukubwani, hakuna wa kuwasemea ali mradi ni biashara za watu,ila nawaonea huruma, acheni haya mambo. Kama unashindwa kuwa na subira maliza masomo yako olewa.
Viuno msingi mjini wataacha kweli. Na warembo hawataki kuzaa wasizeeke. Pili wanalalwa na njemba km zote wataacha kweli.? Somewhere Tanga mama mmoja akiwa na wenzake wanapiga story za watoto wao kuchaguliwa kwenda Form 5 akasema mwanangu namfungashia na vidonge vya majira asije pata mimba shuleni. Wataacha kweli kubwa tuwalee wanetu kwenye misingi bora na tuwafundishe ubaya wa hayo mambo kabla ya muda wao sahihi
 
Hayo madhara ni yapi mbona husemi sasa utawasaidiaje. Ila chuo wanatumia P2 sijawahi ona, kuna huyo mtumishi nilienda nae Unitalent show na kurudi tukalala siku mbili kwangu akanunua P2 kirahisi kabisa. Huyo ni mtumishi mzuri tu, sasa wengine sijui inakuwaje

Mara ya kwanza nina mtu anatumia P2 niliogopa nikajua labda kuna side effects muda huo kama kutoa damu. Tulimaliza practical form VI tukalala siku moja na yeye mwenyewe alikuja nazo. Ndio nikajua wanawake wanawahi sana kuujua ulimwengu
 
Back
Top Bottom