Norshad
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,224
- 12,622
siwezi kuwasemea lakini wengi kwanza utakuta tayari ana mtoto, ama kama hana basi ana kasoro flani, nizungumzie zaidi katika kasoro za kitabia, haridhiki, hajiamini na haamini wengine, ni visirani flani vinavyokaribia na ukichaa utagundua hilo akivurugwa, wengi wao mpaka akuvulie pichu ujue umetumia muda wa ziada na ukifanikiwa hurudi