agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,414
bora nipate tabu kuliko kuoana na gumegume.Kama na wewe unachagua utapata tabu sana,
bora nipate tabu kuliko kuoana na gumegume.Kama na wewe unachagua utapata tabu sana,
Hapa ameuliza mabinti sio wanaume! Rudia kusoma vizur thread sio unakurupuka kama kimba la asubuhiKwani na wanaume wanaosema hawafikirii kuoa bado wanakula ujana huwa inakuwaje
Hawajapata wa kuwaoa!hawajapata chaguo sahihi..
Kumbe bado hujapata!bora nipate tabu kuliko kuoana na gumegume.
Hivi wale mabinti wanaosema hawafikirii kuolewa kwa muda huo wakidai bado wanakula ujana.
Ni kweli wanakuwa hawajaamua au hawajapata wa kuwaoa?![]()
Hahahaaukiona hvy ujue kashatendwa,, anajishauwa tu na kujifariji,,,,waongo hao , we mwambie tu nakupenda nahitaji kukuowa,, utasikia fuata taratibu zote nyumbani[emoji23] [emoji23] [emoji108] ,, wanajishauwaa tu
Why should you allow the past haunt you...Maisha yana mengi sana kuna vitu vinatokea kias kwamba mtu anaona bora awe mwenyewe tu mara nyingi tulikopita kabla huwa ndo sababu kiasi
Ok kila la heri,bora nipate tabu kuliko kuoana na gumegume.
unahakika?Hawajapata wa kuwaoa!
sio dumedume!! mume sahihi.Kumbe bado hujapata!
Tulia, ukilipata dumedume hivi litakuoa
Hamna kitu kama hichosi kweli kuwa hawajapata wa kuwaoa,
labda past experience inaweza ikawa sababu,
wengi ukiangalia,wamechoose career ama education ambitions anazoona akiolewa na kuanza familia hatazikamilisha hizi ndoto,
na ni dhambi piaHamna kitu kibaya kama kukata tamaa ktk maisha
Ukiona binti wa hivyo ujue ni mwaasheratiukiona hvy ujue kashatendwa,, anajishauwa tu na kujifariji,,,,waongo hao , we mwambie tu nakupenda nahitaji kukuowa,, utasikia fuata taratibu zote nyumbani[emoji23] [emoji23] [emoji108] ,, wanajishauwaa tu
Ukijibu kwa ustaarabu unapungukiwa nni,,,, sio lazima ukatukana matusiHapa ameuliza mabinti sio wanaume! Rudia kusoma vizur thread sio unakurupuka kama kimba la asubuhi
Hamna kitu kama hicho
Kama ww?!Maisha yana mengi sana kuna vitu vinatokea kias kwamba mtu anaona bora awe mwenyewe tu mara nyingi tulikopita kabla huwa ndo sababu kiasi