Jiggy El Jefe
Senior Member
- Aug 10, 2017
- 143
- 170
Hivi wale mabinti wanaosema hawafikirii kuolewa kwa muda huo wakidai bado wanakula ujana.
Ni kweli wanakuwa hawajaamua au hawajapata wa kuwaoa?
Ni kweli wanakuwa hawajaamua au hawajapata wa kuwaoa?