From Russia with Love.
Nikweli Hakuna mzuri haponishambulieni lakini sijaona mzuri hapo...
Nawakubali wote wa Eastern Europe alafu twende Brazil. Kuna msemo, 'opposite attract, alike repel'. Black kama mimi nitakuwa attracted kwa white women. Hata hapa bongo, kikawaida napenda mdada mweupe. Sasa full black, watoto watatokaje natania tu.Wakuu! Nilichokigundua na kisichojulikana sana ni uzuri wa hawa warembo wakiyahudi aisee, sio maarufu sana lakini inawezekana kundi hili likawa katika nafasi ya juu sana duniani kwa mvuto.
Na moja ya sifa kubwa walionayo ni kupenda familia.
Na sio wavaa mahijabu.
Kwani wewe ulikuwa na mwenzani. Nawe pia kama wao. Ukizidiwa ni nyeto kwenda mbeleDuu..mkuu wakija kule wengi wanakuwa single hao..nyege zinawasumbuwa....
Mwenyezi mungu fundi
Mmoja mrussia mwingine Ukraine..
Macho + lips
Wacha tu mkuuMwenyezi mungu fundi
Hawa wenye vitambi vya hovyo hovyo?Nadhani Wanawake wa Bashite ndo warembo kuliko wote Duniani kwa muono wangu lakini
Nawakubali wote wa Eastern Europe alafu twende Brazil. Kuna msemo, 'opposite attract, alike repel'. Black kama mimi nitakuwa attracted kwa white women. Hata hapa bongo, kikawaida napenda mdada mweupe. Sasa full black, watoto watatokaje natania tu.
Mama yangu ananiambiaga, 'Ghost ulete hapa mwanamke alie soma na mzungu, usituletee waafrica maana hawawapendi wakwe zao. Atakufanya utusahau.' Anakua anaongea anacheka ila namsoma sana tu. In short huo msemo hapo juu kabisa hauendani na mimi. Kiukweli kitu usichonacho lazima ukifagilie. Bongo asilimia kubwa waafrica, akija mzungu lazima ushoboke. Cause it's foreign. Kusema ukweli mama atakuwa disappointed kwa hili, siwezi kuoa mzungu. Sitaki kulishwa salad from January to December, nimekuwa mbuzi.
Huko divorce kama unaenda kuchukua leseni ya udereva. Kwanza mwanamke ana nguvu kupita mwanaume kisheria. Pili jua kabisa watoto sio watanzania tena. Na ukifa huko mwili haurudi home, watatuiwa Picha Whatsapp. Ngumu sana kumleta bongo, Wenda wewe huende kwao, ndo umekuwa mtumwa wa kimya kimya. Kuvutia yes cause they are foreign. But deep inside me napenda waafrica. Kwanza figure no 8 nyingi, alafu hawazeeki faster kama wazungu.
Ranking upya: Countries with hottest women
1. Tanzania
2. Brazil
3. Ukraine
4.... To be continued.
Mtazamo wangu tu.
-callmeGhost
Mkuu nadhani yaliyo kukuta sio madogo....wa Russia wana wivu balaa...Nilishawai kuwa na Bint wa Russia weee acha tu ibaki story
Hao watoto wa kizungu...ukiwa juu..hawana deal mkuu..au unadhani myahudi hagongwi?nakwambiya mm...kwnz wanavuta sana bangi hao...pili wakishabuta lazima wagegedwe...mbona FRESH TU HAO....msidanganywe na uyahudi...wao...tena ukitaka kuwafaidi tunawafata milimani huko kuna sehem ilikuwa inaitwa MINAR....wanapokula bata.....mbona nimekula hadi WAGIRIKI. WASPAIN.SWEDISH.nk.mbona..SAANA tu...hao unahisi wazungu HAWANA bumunda?Kwani wewe ulikuwa na mwenzani. Nawe pia kama wao. Ukizidiwa ni nyeto kwenda mbele
Hata shepu wapo vzr sana hao..wengi wana nywele nyeusi...Bapa kama mzinga wa Konyagi.
From Russia with Love.
Tena wanaulilia DUSHE... hao. Utasema MBWA kafiwa na mwanae....wana shepu pia...halafu nusu wazungu nusu waarabu..Kwa hio mkuu unadanganywa na rangi au? Mbna hata wabongo wetu ni wazuri mno