Ukipenda hauoniAcha anichinje tu
Mbona hakuna mzuri apo?Wakuu! Nilichokigundua na kisichojulikana sana ni uzuri wa hawa warembo wakiyahudi aisee, sio maarufu sana lakini inawezekana kundi hili likawa katika nafasi ya juu sana duniani kwa mvuto.
Na moja ya sifa kubwa walionayo ni kupenda familia.
Na sio wavaa mahijabu.
Hili tahira kweli !! Kwann hijabu Na kitambaa cha kujitanda kichwan n sawa !! Ile cyo mahijabu n utamadun wa wayahudiWanamchoa wenyewe tena Bikra Maria anavaa hijabu, leo anakuja anakebehi Hijabu. Hawa kweli hawajielewi!
Hii sasa hadithi ya muwamba Ngoma ...Mabinti wa Kipare Ni Walembo Zaid Dunian
Tahira mie au weye? Kwani hijabu inatengezewa kwa mbao?Hili tahira kweli !! Kwann hijabu Na kitambaa cha kujitanda kichwan n sawa !! Ile cyo mahijabu n utamadun wa wayahudi
Thubutuuu nakufa apa apa.Mabinti wa Kipare Ni Walembo Zaid Dunian
Hakuna Myahudi wa Asili wenye Blonde hair na blue eyes ww umeleta picha za wazungu wanaojiita Wayahudi
Pia kama ujui Asili zipo nne
1 Caucasian races(Europeans)
2 Mongolian races (Chinese , Koreans, Japanese )
3 Semitic races (Arabs Indian Jewish)
4 Negroid races(all blacks people)
Hizi ndizo jamii kamili za binadamu pia kuna jamii nyingine tofauti ambayo wapo wengi sana jamii hii inatambulika kama
Mixed race (chotara)
jamii hii watu wengi wanajua ni muunganiko wa mweusi na mweupe ndio wanaitwa mixed lakini si lazima hwe hvyo mixed anaweza kuwa mchina na mjapani au mwarabu na mzungu so mtoto atakaye toka hapo atakuwa mweupe pee
Sasa hoja hapa ni Mzungu ni nani?
Mzungu pure wanasema lazima kuwa na Kigezo kimoja kati ya 2
1 Blonde hair
2 Blue eyes
Mtu anaweza kusema wazungu ni watu wengi Asili ya Ulaya lakini wazungu wenyewe wanasema Spanish, Turkey, Italy, Greece si wazungu pure ni mixed race na Nchi nying sana ni kutoka jamii hii ya Mixed race ( chotara )
Wanasema wazungu pure ni Germany, Denmark, Sweden, Russian, Poland ,Ukraine etc
Blonde hair ndio kigezo kikubwa kwani wanasema katika jamii zote 4 Blonde hair zipo kwao tu ndo maana ni vigumu kumkuta mchina au mkorea wanablonde au kukita Negro ana blonde
Blonde hair unakuja kuzikuta kwa baadhi ya Waisrael ndio maana kuna msemo wanasema Waisrael wa sasa si wale wa enzi za Yesu,Musa hawa ni mchanganyiko wa Waisrael pure na mizungu
Ukiangalia wengi walikuwa Germany na Russia , Poland kule kwenye wazungu pure
FUTA HII
Israel Ehhhh???