Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
Nyie ndo wale mnaoa miguu na makalio halafu haipiti muda malalamiko na nyumba ndogo kila kukicha.
Kweli hujakosea wana vimiguu vyembambaaaaaa halafu na makalio kama ya kihindi wengi sana wapo ivo wala wasibishe kama wapo wenye guu la bia basi mojakwa kumi na kama wapo wenye kalioz basi nao ni moja ya kumi.