Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Usijali kabisaaa.. I know you.. wewe si Sharobaro...
unampa moyo.
Usijali kabisaaa.. I know you.. wewe si Sharobaro...
unampa moyo.
Inaonekana mabint na hata wamama watu wazima siku hizi wanapenda vijana masharobaro ndo maana vijana wengi sikuhizi wanajipodoa na kuoga mara 6 kwa siku!!Je wewe wako nae ni sharobaro?
Jamani Husninyo simpi moyo dear ndo ukweli... Mi sitoki na masharobaro....
Sharobaro ni neno lenye asili ya kiarabu lenye maana ya "Binti mrembo na maridadi". Pia ni kinyume cha neno Barobaro
Sharobaro ni neno lenye asili ya kiarabu lenye maana ya "Binti mrembo na maridadi". Pia ni kinyume cha neno Barobaro
Sharobaro ni neno lenye asili ya kiarabu lenye maana ya "Binti mrembo na maridadi". Pia ni kinyume cha neno Barobaro
Labda wameitwa hivyo kwa sababu ya kutumia sana vipodozi vya kike... Zamani tulikuwa nao vijana Macheki bobu na kulikuwa na Mabrazameni... Haya ni makundi mawili tofauti. Ila hawakuwa watu wa kutumia hizi podari japokuwa walikuwa wanaonekana wapo maridadi sana.Sijui kama Sharobaro ndio miaka michache ya nyuma walikuwa wanaitwa macheckbob
Jamani Husninyo simpi moyo dear ndo ukweli... Mi sitoki na masharobaro....
Sharobaro ni neno lenye asili ya kiarabu lenye maana ya "Binti mrembo na maridadi". Pia ni kinyume cha neno Barobaro
Sharobaro <> Barobaro
Msichana <> Mvulana
Aah! Sasa uko mimi simo... Labda anamaanisha kuwa yeye ndiye rais wao hao warembo...!mchungaji Mstaafu a.k.a X-Pastor ndo kusema yule wmanamuziki wa 'kiume' anayejiita Rais wa masharobaro kuwa ni Binti mrembo na maridadi!
dah
Wabilah Tawfiq....
Labda wameitwa hivyo kwa sababu ya kutumia sana vipodozi vya kike... Zamani tulikuwa nao vijana Macheki bobu na kulikuwa na Mabrazameni... Haya ni makundi mawili tofauti. Ila hawakuwa watu wa kutumia hizi podari japokuwa walikuwa wanaonekana wapo maridadi sana.
Watu ambao tulikuwa tumewazoea kuwaona wakitumia vipodozi na kujichubua walikuwa ni wazaire.