Mabingwa wanafanya nini nyuma ya mlango?

Mabingwa wanafanya nini nyuma ya mlango?

Straddler

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2009
Posts
722
Reaction score
193
0.JPG


Picture courtesy of Haki Ngowi Blogspot.
 
mmiliki wa richmond na aliyeiingiza nchini.
wajinga ndio waliwao.
 
wanashauriana namna ya kuzipiga
hela za kampeni si unajua wote ni watengwa wa chichiem!
:gossip:
 
Kama unajua kusoma lugha za picha,hapo 6 anasema "Wewe mwarabu utamaliza maneno yako yoote,lakini lazima nikukaange *(((&*%% zako"
 
Wanajadiliana kuanzisha ccj 2,moja anamshawishi mwenzake ajiunge na chama kubwa,makini!CCJ
 
mhuuu! mbona mwarabu amesima kama mtu alichoshwa na siasa uchwara? naona 6 anamwambia hata mimi niko hoi na magwanda haya ya kijani natamani kaki lakini nitakwendaje bila viatu?
 
Hapo mwongeaji alikuwa RA 6 anaonekanwazi kusikiliza kwa makini story yenyewe ilikuwa ya kusutana
 
Back
Top Bottom