Mabilioni ya PR ya Nyalandu huko Uingereza

Mabilioni ya PR ya Nyalandu huko Uingereza

toby ziegler

Senior Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
105
Reaction score
58
Hivi mabilioni ya pesa ambayo Nyalandu na watu wake waliwalipa wale wazungu kuifanyia PR wizara yake na serikali yameishia wapi?

Maana nashangaa pesa za misaada hawazitoi, bado wanasema kuwa serikali yetu imejaa wezi na majambazi, wale wale wazungu waliopewa pesa waandike habari nzuri bado tuu wanaendelea kukipaka na bad news. Sasa Nyalandu aliona umuhimu gani wale wazungu kulipwa pesa huko UK? kwa nini hizo hongo za pesa asingetoa hapa kwa hawa waandishi wetuwa habari ambao wakipewa semina Zanzibar au mikumi na bahasha za brown bas wao hukupamba wee mpaka!

waso it really worth it for Nyalandu kutoa zaidi ya dola milioni 3 kuilipa kampuni ambayo hawanyi kazi yyote ile au kasahau kuwa hawa wazungu hawanunuliki kirahisi kwenye zama hizi za twitter na new media?
 
Hivi mabilioni ya pesa ambayo Nyalandu na watu wake waliwalipa wale wazungu kuifanyia PR wizara yake na serikali yameishia wapi?

Maana nashangaa pesa za misaada hawazitoi, bado wanasema kuwa serikali yetu imejaa wezi na majambazi, wale wale wazungu waliopewa pesa waandike habari nzuri bado tuu wanaendelea kukipaka na bad news. Sasa Nyalandu aliona umuhimu gani wale wazungu kulipwa pesa huko UK? kwa nini hizo hongo za pesa asingetoa hapa kwa hawa waandishi wetuwa habari ambao wakipewa semina Zanzibar au mikumi na bahasha za brown bas wao hukupamba wee mpaka!

waso it really worth it for Nyalandu kutoa zaidi ya dola milioni 3 kuilipa kampuni ambayo hawanyi kazi yyote ile au kasahau kuwa hawa wazungu hawanunuliki kirahisi kwenye zama hizi za twitter na new media?


Team kagasheki kazi mnayo.
 
Nyarandu anapaswa kujiuzulu kwenye nafasi yake mara moja, kwanza ile kashfa yake ya kutembea na machangu kina Aunt Ezekiel imeidhalilisha ofisi na wizara yake. Haiwezekani waziri akatumia pesa ya serikali kwa ufuska na akaangaliwa tu! Nyarandu anapaswa kuwajibika au kuwajibishwa kwa hili.
 
Nani wa kumwajibisha NYA..LA..NDU? Baba kikojozi na mtoto kikojozi. Nani atamnyooshea kidole mwenzake?
 
...kuna thread nyingine unasoma hata mara kumi huwezi pata mashiko/maudhui,unajaribu kukonekti dot zote lakini bado chenga tu...
 
...kuna thread nyingine unasoma hata mara kumi huwezi pata mashiko/maudhui,unajaribu kukonekti dot zote lakini bado chenga tu...
haa haa, mkuu rekebisha dish ili upate signals vizuri, nadhani chenga zitatoka tu!
 
Nyalandu kawavuruga sana vita vyenu mmehamishia jf na kuna gazeti mmoja nalo huwa halina habari nyingine kilasiku Nyalandu.

Msituzingue nchi hii Nyalandu si Mzigo wala sio Jk,mzigo ni CCM msitupotezee focus.

Semeni kawavurugia mtandao wenu kaingiza wake sasa hampati usingizi.
 
That is what the Americans call BLACK MAIL!
 
Nyalandu ni mchapakazi na mzalendo wa kweli,alidiriki kupambana na majangili,hawa si wazungu,bali viongozi wazito kwenye chama cha siasa,huyu waziri Nyalandu si wa kawaida,kupambana na hili kundi ni hatari,tumpe moyo tusimkatishe tamaa watanzania wazalendo.kumbukeni operation tokomeza ilihujumiwa makusudi ili isifanikiwe lakini uzalendo ukashinda,kuna siri nyingi zimefichwa hapo wengi wetu hatujui.
 
Ukimuangalia usoni tu anaonekana mnafiki, anahofu hana amani yote hiyo kwa sababu anajijua yeye si msafi. haina haja ya kumtetea wala kumsakama nafsi yake inamtesa mwenyewe., hata yeye anashangaa kwa nini mpaka leo bado ni waziri kwa nini hawajibishwi.
 
Nyalandu ni mchapakazi na mzalendo wa kweli,alidiriki kupambana na majangili,hawa si wazungu,bali viongozi wazito kwenye chama cha siasa,huyu waziri Nyalandu si wa kawaida,kupambana na hili kundi ni hatari,tumpe moyo tusimkatishe tamaa watanzania wazalendo.kumbukeni operation tokomeza ilihujumiwa makusudi ili isifanikiwe lakini uzalendo ukashinda,kuna siri nyingi zimefichwa hapo wengi wetu hatujui.
Jamani mmesahau ule msemo maskini akipata mat.ko hulia mbwata!!!!!! huyu Nyalandu target yake ni mamiss tu na watamkoma mpaka JK akitoka madarakani atakuwa kafaidi sana, hata mie natamania cheo chake nienjoy to the fullest basi tu nimejipiga pin na haka kaajira kangu
 
Huyu mke wa Charles Dunken ni janga katika taifa, afu sii ndio waziri mkuu mtarajiwa wa Bernald Membe 2015 akishinda
 
Ukimuangalia usoni tu anaonekana mnafiki, anahofu hana amani yote hiyo kwa sababu anajijua yeye si msafi. haina haja ya kumtetea wala kumsakama nafsi yake inamtesa mwenyewe., hata yeye anashangaa kwa nini mpaka leo bado ni waziri kwa nini hawajibishwi.

Kamanda kweli wewe ni mwana psychologia aliebobea, yaani nyalandu kama unavyosema ukimwangalia tu usoni ni bonge la mnafik sijawai pata kuona tokea nizaliwe....Jana mke wake alirudi kwao kwa maana nyingine ndoa yao is over and over baada ya Faraja mke wake kugundua kuwa Aunt Ezekiel ana mimba ya Nyalandu, kumbe mchezo ulikuwa tokea zamani....hizi taarifa ni za ndani kabisa na aliyeniambia ni mke wangu ambaye ni best sana sana wa Faraja kota....
 
Jamani mmesahau ule msemo maskini akipata mat.ko hulia mbwata!!!!!! huyu Nyalandu target yake ni mamiss tu na watamkoma mpaka JK akitoka madarakani atakuwa kafaidi sana, hata mie natamania cheo chake nienjoy to the fullest basi tu nimejipiga pin na haka kaajira kangu

Hahahahha mkuu hii kali, tayari Aunt Ezekiel kapata mimba ya jamaa, du kumbe walianza zamani sana hawa watu, maskini Faraja kota kweli kikulacho kiko nguoni mwako.....inaniuma sana PAYE yangu inapotumika kimalaya...
 
Nyalandu ni mchapakazi na mzalendo wa kweli,alidiriki kupambana na majangili,hawa si wazungu,bali viongozi wazito kwenye chama cha siasa,huyu waziri Nyalandu si wa kawaida,kupambana na hili kundi ni hatari,tumpe moyo tusimkatishe tamaa watanzania wazalendo.kumbukeni operation tokomeza ilihujumiwa makusudi ili isifanikiwe lakini uzalendo ukashinda,kuna siri nyingi zimefichwa hapo wengi wetu hatujui.

Sio siri baada ya kumpa Aunt Ezekiel mimba nakubaliana na wewe kuwa huyu jamaa ni mchapakazi....
 
Ukimuangalia usoni tu anaonekana mnafiki, anahofu hana amani yote hiyo kwa sababu anajijua yeye si msafi. haina haja ya kumtetea wala kumsakama nafsi yake inamtesa mwenyewe., hata yeye anashangaa kwa nini mpaka leo bado ni waziri kwa nini hawajibishwi.
mi nilivyoona tu huyu jamaa kaoa aliyekuwa mshindani kwenye umiss nilijua tu jamaa kwa masuala ya ufuska katisha, juzi katoka na aunt Ezekiel kwa pesa za serikali na kula naye bata huko marekani. Huyu alipaswa kuwajibika mara moja.
 
Jamani mmesahau ule msemo maskini akipata mat.ko hulia mbwata!!!!!! huyu Nyalandu target yake ni mamiss tu na watamkoma mpaka JK akitoka madarakani atakuwa kafaidi sana, hata mie natamania cheo chake nienjoy to the fullest basi tu nimejipiga pin na haka kaajira kangu
haa haa, duh huyu jamaa hafai, ulisikia wapi mtu makini anaweza kuoa miss?
 
Back
Top Bottom