Mabeyo: Jeshi libuni miradi kuisaidia Serikali

Sekta kibao ziko wazi mfano gesi ya kupikia nilikuwa Ghana vijijini watu kusiko na barabara wanapeleka mitungi kwa punda sababu magari ya kampuni za gesi hayafiki kule !!! Wamejiongeza .Hapa kwetu gesi biashara mwisho miji mikubwa .Jeshi laweza ishika miji midogo karibu na kambi zao wakaweka maduka ya bei jumla ya majiko ya gesi ya kupikia wakawapa biashara bodaboda wakachukua maduka hayo jirani na kambi na kwenda kuuza rejareja huko ndani ndani vijijini kwa walimu,wakulima,nk kwa kuwapelekea majumbani au kujifungulia viduka vidogo vijijini vya maduka ya Gesi

Kampuni za gesi bado hazijawafikia watu wote kampuni za gesi zaweza pia mikataba ya kibiashara na JWTZ wao wana nagari yawezayo fika popote porini kwenye wateja

Kampuni za gesi ya kupikia zichukue hii kama opportunity ya kufikisha bidhaa zao remote areas kusikofikika na magari yao
Vijijini kwetu kuni bure au gesi bei juu kuliko kuni na mkaa.
Kama soda na bia zinafika KILA kijiji sembuse gas.
Bodaboda zimefungua vijiji.
Zamani hadi ufike kijijini unatumia wiki kufika.
Uhitaji wa gas vijijini si Mkubwa kuliko mijini usafiri sio tatizo.
 
Ni vzr pia kujaza mafuta katka vituo vya jeshi na wawe na Bei moderate bila kuweka faida kubwa kuwazuhi Hawa wanopandisha Bei ya mafuta kiholel
 
Huko ni kukaribisha ufisadi jeshini. Lijitegemee kwa mahitaji yake lakini miradi ya biashara. Big no.
 
Sekta kibao ziko wazi mfano gesi ya kupikia nilikuwa Ghana vijijini watu kusiko na barabara wanapeleka mitungi kwa punda sababu magari ya kampuni za gesi hayafiki kule !!! Wamejiongeza .Hapa kwetu gesi biashara mwisho miji mikubwa .Jeshi laweza ishika miji midogo karibu na kambi zao wakaweka maduka ya bei jumla ya majiko ya gesi ya kupikia wakawapa biashara bodaboda wakachukua maduka hayo jirani na kambi na kwenda kuuza rejareja huko ndani ndani vijijini kwa walimu,wakulima,nk kwa kuwapelekea majumbani au kujifungulia viduka vidogo vijijini vya maduka ya Gesi

Kampuni za gesi bado hazijawafikia watu wote kampuni za gesi zaweza pia mikataba ya kibiashara na JWTZ wao wana nagari yawezayo fika popote porini kwenye wateja

Kampuni za gesi ya kupikia zichukue hii kama opportunity ya kufikisha bidhaa zao remote areas kusikofikika na magari yao
nimekuelewa.....wasogeze miradi ya maendeleo jamii vijijini kabisa......waboreshe hudama za afya nyumba kwa nyumba vijiji vilivyo karibu na kambi....mahusiano........hii ya kituo cha mafuta haiko sawa...nia ni nzuri ila mstari umepinda...
 
nimekuelewa.....wasogeze miradi ya maendeleo jamii vijijini kabisa......waboreshe hudama za afya nyumba kwa nyumba vijiji vilivyo karibu na kambi....mahusiano........hii ya kituo cha mafuta haiko sawa...nia ni nzuri ila mstari umepinda...
Naheshimu maoni yako in haki yako
Lakini vituo vingi vya mafuta huchakachua mafuta na mita za pump wanajeshi hakuna ni standard sababu na magari yao wanajaza hapo

Waanzishe vituo nchi nzima vya mafuta hasa mijini wataleta nidhamu kwa wenye vituo kutochakachua mita au mafuta sababu gauge ya gari itasoma juu kituo cha mafuta cha jeshi kuliko kituo cha binafsi japo bei ni moja ya Ewura
 
Vijijini kwetu kuni bure au gesi bei juu kuliko kuni na mkaa.
Kama soda na bia zinafika KILA kijiji sembuse gas.
Bodaboda zimefungua vijiji.
Zamani hadi ufike kijijini unatumia wiki kufika.
Uhitaji wa gas vijijini si Mkubwa kuliko mijini usafiri sio tatizo.
Gesi vijijini inahitajika sana tu kuna walimu,manesi,wakulima,wanunua mazao ,wafugaji nk tatizo bei ya kufikisha kubwa mno Jeshi Lima magari ya mizigo kila Siku yanaenda huko maporini waweza fungua maduka ya jumla karibu na kambi zao

Bodaboda wenyewe huko porini wanahitaji majiko ya gesi ya kupikia ndio maana wengi wana solar majumbani mwao gesi wanashindwa sababu haiko huko porini na hakuna wa kuwafikishia
 
Gesi vijijini inahitajika sana tu kuna walimu,manesi,wakulima,wanunua mazao ,wafugaji nk tatizo bei ya kufikisha kubwa mno Jeshi Lima magari ya mizigo kila Siku yanaenda huko maporini waweza fungua maduka ya jumla karibu na kambi zao

Bodaboda wenyewe huko porini wanahitaji majiko ya gesi ya kupikia ndio maana wengi wana solar majumbani mwao gesi wanashindwa sababu haiko huko porini na hakuna wa kuwafikishia
Sola ni muhimu kuliko gas.
Kuni na mkaa tele wapelekewe majiko ya kuni au mkaa yanayofua umeme ndio standard yao.
Mkaa kijijini elf 12 gunia gesi elf 20 kujaza jumlisha usafiri kufuata wilayani inafika elf 35.
Sio KILA kijiji kina kambi ya jeshi
 
Sola ni muhimu kuliko gas.
Kuni na mkaa tele wapelekewe majiko ya kuni au mkaa yanayofua umeme ndio standard yao.
Mkaa kijijini elf 12 gunia gesi elf 20 kujaza jumlisha usafiri kufuata wilayani inafika elf 35.
Sio KILA kijiji kina kambi ya jeshi
Solar haipiki chakula middle class vijijini sasa hivi in bodaboda

Ndio maana nataka JWTZ waingie mikataba na bodaboda vijijini kwa kuwa na kituo cha kuwashushia majiko mobile shop ambako watanunua being jumla na kila bodaboda kwenda kuuza mbele kwa mbele huko vijini kwake porini

Kupelekea walimu wa msingi,sekondari za kata no

Jeshi liwe na mobile wholesale shops za gesi ya kupikia wao waki kwenye position nzuri za kufanya hiyo business sababu ya nature ya magari yao yako so strong kwenda popote hivyo wana competitive advantage wakiingia hiyo business
 
Kwani walinzi wa Suma JKT wanalipwa bei gani? Kawasikilize kilio Chao, wamejawa stress ndio maana wanafanya mambo ya ajabu sana
Sijui wanalipwa shilingi ngapi ila sijawahi sikia askari wa Suma JKT kamwibia mteja kwenye lindo na kutokomea gizani kama walinzi wa kampuni binafsi za ulinzi
 
Hujui jeshi wewe Jeshi dunia nzima nchi zenye utulivu na amani jeshi ni serikali yenye kila wizara na wataalamu

Mfano Afya wana hospitali za rufaa hadi madaktari bingwa kuliko popote hata Donald Trump alilazwa military hospital

Elimiu wana shule hadi vyuo vikuu na maprofesa wanajeshi

Engineering wana mainjinia wanajeshi wa kila fani tena registered kabisa kuanzia ujenzi,umeme,computa ,uinjinia wa magari,ndege,maji,nk

Siasa wako political scientsist s kibao na minyota ya kijeshi nk nk

Lengo moja nchi isihujumiwe wanasiasa wahujumu wakitaka kuhujumu jeshi linatoa watu wake linawaingiza uraiani kuendesha nchi bila shida

Pili wakipigana na kuteka nchi ya adui waweza shika nchi na kuiendesha bila shida

Tatu ni sehemu ya ulinzi wataalamu wao waweza jipenyeza kila sekta na kupewa nafasi kulinda hilo eneo au kuchunguza waweza JWTZ wakaingia hata chadema kama walinzi wawe wa mheshimiwa Mbowe nk hawashindwi kupenya hata ujitie mjanja vipi nk

Jeshi in multi sectoral sio tu kushika mibunduki hizo in theory za kizamani

Tii sheria bila shuruti
Una mantiki katika comment yako, lakini uliyemjibu pia ana mantiki ya msingi.

Unakumbuka ni kwa nini maduka yao duty free shops yalifungwa?

Ukiipata sababu, ndiyo mantiki ya hoja ya member uliyemjibu.
 
Naheshimu maoni yako in haki yako
Lakini vituo vingi vya mafuta huchakachua mafuta na mita za pump wanajeshi hakuna ni standard sababu na magari yao wanajaza hapo

Waanzishe vituo nchi nzima vya mafuta hasa mijini wataleta nidhamu kwa wenye vituo kutochakachua mita au mafuta sababu gauge ya gari itasoma juu kituo cha mafuta cha jeshi kuliko kituo cha binafsi japo bei ni moja ya Ewura
uko sahihi mkuu, hili la mafuta kuna siku atakuja kiongozi mwingine atawatoa huko, hii utanikumbuka.......hii wameingilia maslahi ya watu flani fulani.......na viongozi wetu huwa hawana soni wala aibu....mihemko mingi....kila mmoja na zama zake....jeshi ni amri tu....wana mpango wa kuagiza na kuwa na visima vikubwa..hilo ni sawa.....sbb sereikali ndie muagizaji mkuu.....kuna uchakachuaji mkuu huko....
 
hakutakuwa na shida km hio miradi yao ama kampuni zao zitakuwa znashindana sokoni ila km ndo ztakuwa znapewa tu tenda moja kwa moja bila kushindanishwa sidhan km kutakua na manufaa sn kwa maendeleo ya biashara
 
MKUU wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo amevitaka vikosi vya jeshi kutumia wataalamu wa ndani kubuni miradi ya kimkakati na kuhimiza uadilifu kwenye miradi iliyokamilika.

Mabeyo alisema hayo wakati wa kuzindua kituo cha mafuta cha R971 kilichojengwa na jeshi eneo la Ihumwa.

Alisema jeshi kama taasisi linaweza kufanya mambo makubwa na kinachotakiwa ni kujiamini, kuwa na mitazamo chanya, wakati wote kuwa wabunifu na waadilifu katika miradi hiyo.

“Hakuna kisichowezekana na wenzetu wameweza kwani sisi tusiweze, kuna taaluma chungu nzima ndani ya jeshi lakini tumezilaza, tuziibue taaluma tulizonazo kwa manufaa ya jeshi na taifa kwa ujumla, mimi bado naamini inawezekana,” alisema.

Mabeyo alisema pamoja na kuwa serikali ina wajibu wa kuhudumia jeshi kwa asilimia 100, bado kuna haja ya jeshi kuwa na mchango kwa nchi kama ilivyo kwa majeshi makubwa kwa kuanzisha miradi mbalimbali.

“Nilipata fursa za kutembelea maeneo ya ndani na nje ya nchi yakiwemo majeshi makubwa, wenzetu huko wanafanya mambo makubwa na wanachangia uchumi na pato la Taifa, lakini sisi tulikuwa tunategemea serikali kwa asilimia 100. Wajibu wa serikali kulihudumia jeshi ni kweli ndio dhana, je, sisi hatuna mchango wowote? Mchango wetu ni kuhakikisha tunachochea ukuaji uchumi na jukumu letu la msingi la ulinzi wa nchi na haya yanawezekana,” alisema.

Aidha, Mabeyo alisisitiza vikosi kuendelea kuimarisha miradi iliyokwisha kamilika na kufikiria miradi mikubwa zaidi na ya kimkakati.

“Fikra hizo ni lazima tuelekeze kwenye ubunifu, tubuni miradi mikubwa na ya kimkakati kama huu (kituo cha mafuta). Watu hawaelewi kama mafuta ni mradi wa kimkakati, mafuta yakikosekana katika nchi ina paralyzed nchi na iki paralyze nchi hakuna usalama katika nchi na ndio maana nilifikiria hili lazima tulibebe maana ni suala la kimkakati na la kiusalama,” alisema.

Mabeyo alisema hivi sasa jeshi linaangalia uwezekano wa kuagiza mafuta moja kwa moja ili kuwa na akiba ya nchi na kuwa na mitambo ya kusafisha mafuta nchini. Alisema kikosi cha R 971 ni miongoni mwa vikozi vitatu vilivyoanzisha miradi ya kimkakati. Vingine ni 12 KJ na 27 KJ. Mabeyo aliahidi kukipatia kituo hicho Sh milioni 100 kwa ajili ya kukipa uwezo zaidi ikiwa ni mbali na Sh milioni 100 zilizotolewa awali.

Pia alitoa wito kwa maofisa, askari na wakazi wa Ihumwa wenye vyombo vya usafiri kuwa wateja wa kwanza kwenye mradi huu wa kituo cha mafuta. Vile vile alipongeza Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kuwa mfano wa kutekeleza miradi ya kimkakati ukiwemo wa skimu ya umwagiliaji ambao umelenga kujilisha na kuweka akiba chakula.

Awali Kamanda wa kikosi R971, Kanali Justus Kitta alisema kituo hicho kimejengwa kwa gharama ya Sh milioni 280 kikiwa na matangi yenye uwezo wa kuhifadhia zaidi ya lita 60,000 za mafuta.

Alisema mkakati uliopo ni kuongeza visima zaidi na kujenga kituo kingine jijini Dodoma kabla ya kuwa na vituo vya mafuta kila mkoa.
Hakika kuna taaluma Kibao tu
 
Hujui jeshi wewe Jeshi dunia nzima nchi zenye utulivu na amani jeshi ni serikali yenye kila wizara na wataalamu

Mfano Afya wana hospitali za rufaa hadi madaktari bingwa kuliko popote hata Donald Trump alilazwa military hospital

Elimiu wana shule hadi vyuo vikuu na maprofesa wanajeshi

Engineering wana mainjinia wanajeshi wa kila fani tena registered kabisa kuanzia ujenzi,umeme,computa ,uinjinia wa magari,ndege,maji,nk

Siasa wako political scientsist s kibao na minyota ya kijeshi nk nk

Lengo moja nchi isihujumiwe wanasiasa wahujumu wakitaka kuhujumu jeshi linatoa watu wake linawaingiza uraiani kuendesha nchi bila shida

Pili wakipigana na kuteka nchi ya adui waweza shika nchi na kuiendesha bila shida

Tatu ni sehemu ya ulinzi wataalamu wao waweza jipenyeza kila sekta na kupewa nafasi kulinda hilo eneo au kuchunguza waweza JWTZ wakaingia hata chadema kama walinzi wawe wa mheshimiwa Mbowe nk hawashindwi kupenya hata ujitie mjanja vipi nk

Jeshi in multi sectoral sio tu kushika mibunduki hizo in theory za kizamani

Tii sheria bila shuruti
ni kweli but kuwa na wataalamu ni jambo moja ila biashara ni jambo lingine tofauti kabisa, labda km kampuni zao zitalindwa dhidi ya ushindan toka sekta binafsi vinginevyo serikali itakua inazibail out mara kwa mara, kimsingi jeshi lina nafasi but sio kubwa sn labda kwe defense, misri wamefny sn hio tangu al sisi aingie but malalamiko ni makubwa sn toka sekta binafsi coz hakuna fair competition maana jeshi haliwez kuinvest heavily halafu likaruhusu lifilisike kisa kuna ushindan toka sekta binafsi hii ndio shida hasa afrika kwetu, kuwa na wataalamu ni swala moja but ujasiriamali na biashara ni swala lingine tuwaulize warusi
 
Back
Top Bottom