Vision Empower
Senior Member
- Dec 31, 2016
- 156
- 234
Picha....
Mkuu mimi nilipima la mwanangu nikakuta kilo 17.5. Hapo alikuwa la 5. Balaaaa!Mimi nina mtoto darasa la saba na lapili nitayapima mabegi yao nilete mrejesho muone
Shule za ulaya wao kila mwanafunzi ana locker yake mchezo umeisha. Ni kweli wangeanzisha system hizo ingesaidia. Una kufuli yako basi .hiyo kazi kila siku unaenda na mzigo unarudi na mzigoYaani ingefaa kuwe na special lockers wanafunzi wawe wanahifadhia madaftari yao na vifaa vyao huko kama shule za ulaya...
Bongo unakuta mtoto mdogo kabeba begi lina uzito wa haja
ILA TENA KWA KUWA NI BONGO NDIO UNAVYOONA MKUUShule za ulaya wao kila mwanafunzi ana locker yake mchezo umeisha. Ni kweli wangeanzisha system hizo ingesaidia. Una kufuli yako basi .hiyo kazi kila siku unaenda na mzigo unarudi na mzigo
Kayumba hawana mizigo ya kipuuzi daftari tu chache wengine wanakunjia mfuko wa NyumaHapo wa St kayumba bag uzito 15kg huku ana ufagio,Kuni,mbolea na Kopo la kumwagilia maua
St kayumba gani hiyo wanabebeshwa hivo!!St. Kayumba bila shaka....tuliteseka sana aisee hata ss, mm watt wangu sitaki wasome hizo shule kabisa
Ulisoma shule gani?Nimebeba begi mimi jamani
Mnakuja kutuhurumia tushakuwa wakubwa jamani
Hii nimechekeka aiseeTimetable kwa shule za kata ni sawa kutabiri kiyama ni lini ?
Huyo unayesema ww nichimbo huyo daftari moja masomo yote anaandikia English akitoka mwalimu huo ukurasa uliyoandikiwa unachanwa linaandikiwa scienceKayumba hawana mizigo ya kipuuzi daftari tu chache wengine wanakunjia mfuko wa Nyuma