uniq
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 5,089
- 31,085
Kwangu mimi naona sio sahihi kabisa. Maana hakuna mtu anaeweza kupoke vitu vipya zaidi ya 4 kwa siku.Salamu, Uniq.
Maamuzi sahihi yanatanguliwa na Elimu sahihi. Right decision is proceed by right knowledge.
Uhuru wa kuchagua hutanguliwa na utashi. Na utashi hutanguliwa na elimu juu ya suala hilo.
Lazima tusanisi, tudadisi, tusaili na kadhalika. Lazima tuwe REST-LESS..
Unadhani ni sahihi mwanafunzi kufundishwa, kusoma masomo zaidi ya 14 kwa siku?. Nadhani tungeanzia hapa.
Karibu..
Mimi ningetamani kuona mwanafunzi wa shule ya msingi asome vipindi sio zaidi ya sita kwa siku. Then apate muda wa kucheza na kutuliza akili na kufanya mazoezi na kujisomea alicho fundishwa siku hiyo.
Elimu yetu ya Tanzania mtoto anapewa vitu vikubwa sana kuliko umri wake.