Hongera sana mkuu.Mimi sio "akili kubwa",ila nimekuelewa.
Mimi sio "great thinker", ila nimekuelewa.
Mimi ni "great sinker", ila nimekuelewa.
Hata sisi vilaza tumeelewa.
Jana nikiwa katika matembezi yangu ya kawaida nilikutana na mabeberu wakiwa wamekaa mahali wanakula chakula. Niliwasalimia kwa kiswahili wakaitikia kwa kiswahili chao kibovu huku wakitabasamu . Beberu mmoja akanikalibisha chakula nikakataa , na nikaona hii ndo fursa pekee yakuwambia ukweli hawa mabeberu kuhusu uchochezi wao juu ya mambo yetu ya ndani . Sikuwaficha nikawaeleza yafuatayo.
(1) Kwanza wasitutishe na misaada yao sisi ni matajiri sana tunao uwezo wa kujitegemea bila kuwategemea wao na siyo mda mrefu ujao tutaanza kuwapa misaada wao.
(2) Pili sisi ni watakatifu sana huwa hatutendi dhambi , kwa hiyo tukimuona mtu anafanya mapenzi ya njinsia moja tunamfaninisha na shetani au tukisikia binti amepata ujauzito akiwa shule huyu sasa naye akafie mbali , maana sisi ni wacha Mungu, hatufanyi dhambi kabisa kwa hiyo hatuwezi kuchangamana na watu wenye dhambi.
(3) Tatu sisi bwana tuna Uhuru mkubwa wa kutoa maoni yetu , isipokuwa tu maoni hayo yawe yale yanayopendwa na wakubwa hii ni kwa sababu Mungu ametujalia viongozi watakatifu huwa hawana makosa kabisa, ni watu waliojaliwa busara ya ajabu sana hata mfalme Sulemani haoni ndani , kwa hiyo nyinyi mabeberu mtuache.
(4) La nne nililowambia hawa mabeberu ni kuwa haki zote za binadamu hapa kwetu zinazingatiwa sana , isipokuwa tu isiitumie hiyo haki yako kukosoa viongozi maana wao ni wapakwa mafuta . Haki ya kujumuika ipo kabisa Ila isijadili siasa , kama mnajadili mpira hiyo haina shida. Kama mnafanya ibada haina shida kabisa.
Nimewaeleza mengi sana hawa mabeberu , wote wakokosa hoja za kunijibu na ni kweli hawana hoja . Niliamua kuondoka nikikataa chakula chao maana Mimi ni mzalendo siwezi kula na mabeberu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mpaka vibeberu kukukaribisha chakula inaonyesha nina gani wewe kimbuzi jike ulivyonona na ungekula nawe ungeliwaJana nikiwa katika matembezi yangu ya kawaida nilikutana na mabeberu wakiwa wamekaa mahali wanakula chakula. Niliwasalimia kwa kiswahili wakaitikia kwa kiswahili chao kibovu huku wakitabasamu . Beberu mmoja akanikalibisha chakula nikakataa , na nikaona hii ndo fursa pekee yakuwambia ukweli hawa mabeberu kuhusu uchochezi wao juu ya mambo yetu ya ndani . Sikuwaficha nikawaeleza yafuatayo.
(1) Kwanza wasitutishe na misaada yao sisi ni matajiri sana tunao uwezo wa kujitegemea bila kuwategemea wao na siyo mda mrefu ujao tutaanza kuwapa misaada wao.
(2) Pili sisi ni watakatifu sana huwa hatutendi dhambi , kwa hiyo tukimuona mtu anafanya mapenzi ya njinsia moja tunamfaninisha na shetani au tukisikia binti amepata ujauzito akiwa shule huyu sasa naye akafie mbali , maana sisi ni wacha Mungu, hatufanyi dhambi kabisa kwa hiyo hatuwezi kuchangamana na watu wenye dhambi.
(3) Tatu sisi bwana tuna Uhuru mkubwa wa kutoa maoni yetu , isipokuwa tu maoni hayo yawe yale yanayopendwa na wakubwa hii ni kwa sababu Mungu ametujalia viongozi watakatifu huwa hawana makosa kabisa, ni watu waliojaliwa busara ya ajabu sana hata mfalme Sulemani haoni ndani , kwa hiyo nyinyi mabeberu mtuache.
(4) La nne nililowambia hawa mabeberu ni kuwa haki zote za binadamu hapa kwetu zinazingatiwa sana , isipokuwa tu isiitumie hiyo haki yako kukosoa viongozi maana wao ni wapakwa mafuta . Haki ya kujumuika ipo kabisa Ila isijadili siasa , kama mnajadili mpira hiyo haina shida. Kama mnafanya ibada haina shida kabisa.
Nimewaeleza mengi sana hawa mabeberu , wote wakokosa hoja za kunijibu na ni kweli hawana hoja . Niliamua kuondoka nikikataa chakula chao maana Mimi ni mzalendo siwezi kula na mabeberu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si lazima kufanana nao. Kwani panya hawawezi kukutana na beberu??Kama wao ni mabeberu na Sisi ni mbuzi jike??
Kila kidume na mwenzi wake. Beberu mwenza wake ni jike awe panya au mpaka haijalishi. Ndio sababu wakenya wanatuitaSi lazima kufanana nao. Kwani panya hawawezi kukutana na beberu??
Maneno ya kike kike hayoTena ungechota na maji ya mtaroni uwamwagie kabisa!! Walaaniwe mabeberu wote na vibaraka zao!!
Beberu mdogo katika ubora wako.Jana nikiwa katika matembezi yangu ya kawaida nilikutana na mabeberu wakiwa wamekaa mahali wanakula chakula. Niliwasalimia kwa kiswahili wakaitikia kwa kiswahili chao kibovu huku wakitabasamu . Beberu mmoja akanikalibisha chakula nikakataa , na nikaona hii ndo fursa pekee yakuwambia ukweli hawa mabeberu kuhusu uchochezi wao juu ya mambo yetu ya ndani . Sikuwaficha nikawaeleza yafuatayo.
(1) Kwanza wasitutishe na misaada yao sisi ni matajiri sana tunao uwezo wa kujitegemea bila kuwategemea wao na siyo mda mrefu ujao tutaanza kuwapa misaada wao.
(2) Pili sisi ni watakatifu sana huwa hatutendi dhambi , kwa hiyo tukimuona mtu anafanya mapenzi ya njinsia moja tunamfaninisha na shetani au tukisikia binti amepata ujauzito akiwa shule huyu sasa naye akafie mbali , maana sisi ni wacha Mungu, hatufanyi dhambi kabisa kwa hiyo hatuwezi kuchangamana na watu wenye dhambi.
(3) Tatu sisi bwana tuna Uhuru mkubwa wa kutoa maoni yetu , isipokuwa tu maoni hayo yawe yale yanayopendwa na wakubwa hii ni kwa sababu Mungu ametujalia viongozi watakatifu huwa hawana makosa kabisa, ni watu waliojaliwa busara ya ajabu sana hata mfalme Sulemani haoni ndani , kwa hiyo nyinyi mabeberu mtuache.
(4) La nne nililowambia hawa mabeberu ni kuwa haki zote za binadamu hapa kwetu zinazingatiwa sana , isipokuwa tu isiitumie hiyo haki yako kukosoa viongozi maana wao ni wapakwa mafuta . Haki ya kujumuika ipo kabisa Ila isijadili siasa , kama mnajadili mpira hiyo haina shida. Kama mnafanya ibada haina shida kabisa.
Nimewaeleza mengi sana hawa mabeberu , wote wakokosa hoja za kunijibu na ni kweli hawana hoja . Niliamua kuondoka nikikataa chakula chao maana Mimi ni mzalendo siwezi kula na mabeberu.
Sent using Jamii Forums mobile app



karbu tz
Umefanya vizuri sana Mkuu, MABEBERU siyo wa kuwachekea kabisa. Hata Mimi nikionana nao Nitawachamba mpaka wanyong'onyee, shenzi kabisa hawa.
PUMBANISM/UFIPANISM/BAVICHAANISM ON YOUR BEST THREAD TO OPPOSE EVERYTHING DONE BY TZ GOVERNMENT UNDER JPM'S LEADERSHIP STYLE.Jana nikiwa katika matembezi yangu ya kawaida nilikutana na mabeberu wakiwa wamekaa mahali wanakula chakula. Niliwasalimia kwa kiswahili wakaitikia kwa kiswahili chao kibovu huku wakitabasamu . Beberu mmoja akanikalibisha chakula nikakataa , na nikaona hii ndo fursa pekee yakuwambia ukweli hawa mabeberu kuhusu uchochezi wao juu ya mambo yetu ya ndani . Sikuwaficha nikawaeleza yafuatayo.
(1) Kwanza wasitutishe na misaada yao sisi ni matajiri sana tunao uwezo wa kujitegemea bila kuwategemea wao na siyo mda mrefu ujao tutaanza kuwapa misaada wao.
(2) Pili sisi ni watakatifu sana huwa hatutendi dhambi , kwa hiyo tukimuona mtu anafanya mapenzi ya njinsia moja tunamfaninisha na shetani au tukisikia binti amepata ujauzito akiwa shule huyu sasa naye akafie mbali , maana sisi ni wacha Mungu, hatufanyi dhambi kabisa kwa hiyo hatuwezi kuchangamana na watu wenye dhambi.
(3) Tatu sisi bwana tuna Uhuru mkubwa wa kutoa maoni yetu , isipokuwa tu maoni hayo yawe yale yanayopendwa na wakubwa hii ni kwa sababu Mungu ametujalia viongozi watakatifu huwa hawana makosa kabisa, ni watu waliojaliwa busara ya ajabu sana hata mfalme Sulemani haoni ndani , kwa hiyo nyinyi mabeberu mtuache.
(4) La nne nililowambia hawa mabeberu ni kuwa haki zote za binadamu hapa kwetu zinazingatiwa sana , isipokuwa tu isiitumie hiyo haki yako kukosoa viongozi maana wao ni wapakwa mafuta . Haki ya kujumuika ipo kabisa Ila isijadili siasa , kama mnajadili mpira hiyo haina shida. Kama mnafanya ibada haina shida kabisa.
Nimewaeleza mengi sana hawa mabeberu , wote wakokosa hoja za kunijibu na ni kweli hawana hoja . Niliamua kuondoka nikikataa chakula chao maana Mimi ni mzalendo siwezi kula na mabeberu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa haaaaUmefanya vizuri sana Mkuu, MABEBERU siyo wa kuwachekea kabisa. Hata Mimi nikionana nao Nitawachamba mpaka wanyong'onyee, shenzi kabisa hawa.
Sent using Jamii Forums mobile app