Mabeberu wamenikaribisha chakula nikakataa

Mabeberu wamenikaribisha chakula nikakataa

Jana nikiwa katika matembezi yangu ya kawaida nilikutana na mabeberu wakiwa wamekaa mahali wanakula chakula. Niliwasalimia kwa kiswahili wakaitikia kwa kiswahili chao kibovu huku wakitabasamu . Beberu mmoja akanikalibisha chakula nikakataa , na nikaona hii ndo fursa pekee yakuwambia ukweli hawa mabeberu kuhusu uchochezi wao juu ya mambo yetu ya ndani . Sikuwaficha nikawaeleza yafuatayo.

(1) Kwanza wasitutishe na misaada yao sisi ni matajiri sana tunao uwezo wa kujitegemea bila kuwategemea wao na siyo mda mrefu ujao tutaanza kuwapa misaada wao.

(2) Pili sisi ni watakatifu sana huwa hatutendi dhambi , kwa hiyo tukimuona mtu anafanya mapenzi ya njinsia moja tunamfaninisha na shetani au tukisikia binti amepata ujauzito akiwa shule huyu sasa naye akafie mbali , maana sisi ni wacha Mungu, hatufanyi dhambi kabisa kwa hiyo hatuwezi kuchangamana na watu wenye dhambi.

(3) Tatu sisi bwana tuna Uhuru mkubwa wa kutoa maoni yetu , isipokuwa tu maoni hayo yawe yale yanayopendwa na wakubwa hii ni kwa sababu Mungu ametujalia viongozi watakatifu huwa hawana makosa kabisa, ni watu waliojaliwa busara ya ajabu sana hata mfalme Sulemani haoni ndani , kwa hiyo nyinyi mabeberu mtuache.

(4) La nne nililowambia hawa mabeberu ni kuwa haki zote za binadamu hapa kwetu zinazingatiwa sana , isipokuwa tu isiitumie hiyo haki yako kukosoa viongozi maana wao ni wapakwa mafuta . Haki ya kujumuika ipo kabisa Ila isijadili siasa , kama mnajadili mpira hiyo haina shida. Kama mnafanya ibada haina shida kabisa.

Nimewaeleza mengi sana hawa mabeberu , wote wakokosa hoja za kunijibu na ni kweli hawana hoja . Niliamua kuondoka nikikataa chakula chao maana Mimi ni mzalendo siwezi kula na mabeberu.

Sent using Jamii Forums mobile app


Wakati unaongea na hao mabeberu kijana alosto (Zitto Kabwe) alikuwa kajificha wapi?
 
Unafiki uliotumika hapa ni wa kiwango cha juu kabisa kuwai kushuhudiwa karne ya 21.
 
Haya ni matokeo ya siasa za awamu hii..haohao wanawapa misaada then mnawatukana..wakikata misaada sijui mtaishije
Akili ni mali.

Ugiligili
Hivi na wewe ni great thinker?!? Au umesoma tittle ukambilia kukoment?!!? Unfortunately enough naona kuna matumbafu flani hivi yamekupa likes.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daaahhhh manengelo unaona thread ya mabeberu halafu unashindwa hata kunishtua kweli ndugu yangu?
Mi nisichoyapendea mabeberu ile harufu yao na tabia ya kunusanusa tu makalio ya wenzao.
Money hivi kweli ukipata zee la beberu lenye mahela yake likawa na mpango wa kukupeleka ulaya utakataa?

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
Daaahhhh manengelo unaona thread ya mabeberu halafu unashindwa hata kunishtua kweli ndugu yangu?
Mi nisichoyapendea mabeberu ile harufu yao na tabia ya kunusanusa tu makalio ya wenzao.
Money hivi kweli ukipata zee la beberu lenye mahela yake likawa na mpango wa kukupeleka ulaya utakataa?

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
Haaaa haaaa, JF bwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ni matokeo ya siasa za awamu hii..haohao wanawapa misaada then mnawatukana..wakikata misaada sijui mtaishije
Akili ni mali.

Ugiligili
Wakikataa kuwapa msaada kwenye dawa za ukimwi mtatoka kweli?
 
Daaahhhh manengelo unaona thread ya mabeberu halafu unashindwa hata kunishtua kweli ndugu yangu?
Mi nisichoyapendea mabeberu ile harufu yao na tabia ya kunusanusa tu makalio ya wenzao.
Money hivi kweli ukipata zee la beberu lenye mahela yake likawa na mpango wa kukupeleka ulaya utakataa?

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk


😂😂😂mbona ninalo mkuu lipo kilosa huko.nlichunga hatar..next yr nalichinja😊😊😊naamini litatoa kilo nyingi tule xmas2020
 
Jana nikiwa katika matembezi yangu ya kawaida nilikutana na mabeberu wakiwa wamekaa mahali wanakula chakula. Niliwasalimia kwa kiswahili wakaitikia kwa kiswahili chao kibovu huku wakitabasamu . Beberu mmoja akanikalibisha chakula nikakataa , na nikaona hii ndo fursa pekee yakuwambia ukweli hawa mabeberu kuhusu uchochezi wao juu ya mambo yetu ya ndani . Sikuwaficha nikawaeleza yafuatayo.

(1) Kwanza wasitutishe na misaada yao sisi ni matajiri sana tunao uwezo wa kujitegemea bila kuwategemea wao na siyo mda mrefu ujao tutaanza kuwapa misaada wao.

(2) Pili sisi ni watakatifu sana huwa hatutendi dhambi , kwa hiyo tukimuona mtu anafanya mapenzi ya njinsia moja tunamfaninisha na shetani au tukisikia binti amepata ujauzito akiwa shule huyu sasa naye akafie mbali , maana sisi ni wacha Mungu, hatufanyi dhambi kabisa kwa hiyo hatuwezi kuchangamana na watu wenye dhambi.

(3) Tatu sisi bwana tuna Uhuru mkubwa wa kutoa maoni yetu , isipokuwa tu maoni hayo yawe yale yanayopendwa na wakubwa hii ni kwa sababu Mungu ametujalia viongozi watakatifu huwa hawana makosa kabisa, ni watu waliojaliwa busara ya ajabu sana hata mfalme Sulemani haoni ndani , kwa hiyo nyinyi mabeberu mtuache.

(4) La nne nililowambia hawa mabeberu ni kuwa haki zote za binadamu hapa kwetu zinazingatiwa sana , isipokuwa tu isiitumie hiyo haki yako kukosoa viongozi maana wao ni wapakwa mafuta . Haki ya kujumuika ipo kabisa Ila isijadili siasa , kama mnajadili mpira hiyo haina shida. Kama mnafanya ibada haina shida kabisa.

Nimewaeleza mengi sana hawa mabeberu , wote wakokosa hoja za kunijibu na ni kweli hawana hoja . Niliamua kuondoka nikikataa chakula chao maana Mimi ni mzalendo siwezi kula na mabeberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usipende kutembea na mabeberu mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mbona ninalo mkuu lipo kilosa huko.nlichunga hatar..next yr nalichinja[emoji4][emoji4][emoji4]naamini litatoa kilo nyingi tule xmas2020
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jinga kabisaaaa ila nilichunge vzr hua hayachelewi kukunusa kunapo masaburi

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jinga kabisaaaa ila nilichunge vzr hua hayachelewi kukunusa kunapo masaburi

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk[/QU😂😂😂yanapenda kunusa wanaume..bas km ndo mfno huo yanataka sana mnusa namba 1
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom