Mabeberu wamenikaribisha chakula nikakataa

Mabeberu wamenikaribisha chakula nikakataa

Hao mabeberu sio kabisa, kuna dada yao mmoja tunafahiana kikazi sasa majuzi around xmas nikaona mazoea yamezidi akaniambia she plans to go znz for holidays if i don't mind i could join her, nilichomjibu i'm sorry i plan to hang with wifey pia kwa sasa tupo kwenye vita ya kiuchumi, mtoto tokea siku hiyo kawa mikausho no more msgs namsubiri j3 ofisini tuone, ila nimemuunga mkono rais kwa kumpotezea beberu wa kike!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao mabeberu sio kabisa, kuna dada yao mmoja tunafahiana kikazi sasa majuzi around xmas nikaona mazoea yamezidi akaniambia she plans to go znz for holidays if i don't mind i could join her, nilichomjibu i'm sorry i plan to hang with wifey pia kwa sasa tupo kwenye vita ya kiuchumi, mtoto tokea siku hiyo kawa mikausho no more msgs namsubiri j3 ofisini tuone, ila nimemuunga mkono rais kwa kumpotezea beberu wa kike!

Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa haaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nikiwa katika matembezi yangu ya kawaida nilikutana na mabeberu wakiwa wamekaa mahali wanakula chakula. Niliwasalimia kwa kiswahili wakaitikia kwa kiswahili chao kibovu huku wakitabasamu . Beberu mmoja akanikalibisha chakula nikakataa , na nikaona hii ndo fursa pekee yakuwambia ukweli hawa mabeberu kuhusu uchochezi wao juu ya mambo yetu ya ndani . Sikuwaficha nikawaeleza yafuatayo.

(1) Kwanza wasitutishe na misaada yao sisi ni matajiri sana tunao uwezo wa kujitegemea bila kuwategemea wao na siyo mda mrefu ujao tutaanza kuwapa misaada wao.

(2) Pili sisi ni watakatifu sana huwa hatutendi dhambi , kwa hiyo tukimuona mtu anafanya mapenzi ya njinsia moja tunamfaninisha na shetani au tukisikia binti amepata ujauzito akiwa shule huyu sasa naye akafie mbali , maana sisi ni wacha Mungu, hatufanyi dhambi kabisa kwa hiyo hatuwezi kuchangamana na watu wenye dhambi.

(3) Tatu sisi bwana tuna Uhuru mkubwa wa kutoa maoni yetu , isipokuwa tu maoni hayo yawe yale yanayopendwa na wakubwa hii ni kwa sababu Mungu ametujalia viongozi watakatifu huwa hawana makosa kabisa, ni watu waliojaliwa busara ya ajabu sana hata mfalme Sulemani haoni ndani , kwa hiyo nyinyi mabeberu mtuache.

(4) La nne nililowambia hawa mabeberu ni kuwa haki zote za binadamu hapa kwetu zinazingatiwa sana , isipokuwa tu isiitumie hiyo haki yako kukosoa viongozi maana wao ni wapakwa mafuta . Haki ya kujumuika ipo kabisa Ila isijadili siasa , kama mnajadili mpira hiyo haina shida. Kama mnafanya ibada haina shida kabisa.

Nimewaeleza mengi sana hawa mabeberu , wote wakokosa hoja za kunijibu na ni kweli hawana hoja . Niliamua kuondoka nikikataa chakula chao maana Mimi ni mzalendo siwezi kula na mabeberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulisahau kueaambia kwamba wi a in ze raiti trakii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli Inauma sana[emoji24] [emoji24] [emoji116]
41C752F000000578-0-image-a-50_1498491978217.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nikikutana na beberu navunja pua lake. Nimelisha sana mbuzi. Nakumbuka tabia moja ya beberu ni kunusa nyeti za wenzake na kubugia mkojo wake. Sijajua hawa mabeberu wanaoimendea TZ wana tabia zipi kati ya hizi mbili.
 
Mimi nikikutana na beberu navunja pua lake. Nimelisha sana mbuzi. Nakumbuka tabia moja ya beberu ni kunusa nyeti za wenzake na kubugia mkojo wake. Sijajua hawa mabeberu wanaoimendea TZ wana tabia zipi kati ya hizi mbili.

😂😂😂😂
 
Sasa beberu lina shida gani? Au xmas ulikula maharagwe?
 
Back
Top Bottom